kwa niaba ya wadau wa globu ya jamii nachukua nafasi hii kukupongeza shamim zeze kwa kusherehekea vilivyo siku ya mama duniani ukiwa na iqra. kwa wasiomfahamu shamim zeze huyu ni dada wa shoka ambaye amekuwa akiendeleza libeneke la mitindo kwa muda mrefu sana na kuleta mapinduzi makubwa katika tasnia nzima ya globu.  unaweza kumwita kungwi wa mabloga wanawake walioko bongo.
hongera sana shamim na endeleza libeneke. Picha kwa hisani kubwa kabisa ya 
http://8020fashions.blogspot.com/

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 16 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 11, 2009

    You are so beautiful; you even don't have the baby weight any more! Congratulation
    ....keep it up gir :) :)

    Another lady.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 12, 2009

    Hongera kwa mtoto..haya Mama hilo jina maana yake nini? Mie Mbantu sijui maana yake

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 12, 2009

    naomba maan ya jina la mtoto. Iqra ninayojua mimi maana yake ni amri, yaani soma. just curious

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 12, 2009

    Una blog ya fashion yenye visitors 1.37ml people!
    U ar wonderful. You ar doing great.
    You real da best lady and best female enterprenuer.
    Mdada wa Moro kip it ap!
    I love it-U ar so great

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 12, 2009

    Majina mengine si ya kuwapa watoto..! Jina liafanana na Iraq, mambo gani hayo? Umekosa majina yote kwenye dictionary?

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 12, 2009

    heeeee!!
    makubwa aya
    aya ngoja waosha vinywa

    asante mama na mtoto

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 12, 2009

    Both of u look wonderful mashallah mola awazidishie na umefanana sana na mwanao.Hongera...

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 12, 2009

    tafadhali kama hujui maana uliza maana,jina ni IQRA maana yake SOMA aliyempa jina anamtakia dua njema mwanae ya kusoma na kuelimika katika dunia ya leo sasa wewe hujui unafananisha na Iraq,what a shame ukiuliza unaelimika,na hili ni tatizo la waTZ uvilaza umezidi

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 12, 2009

    mmh,hongera wajina jamani.your baby is so cute.umependezaaaa

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 12, 2009

    makubwa! majina ndo yanapatikana kwenye dictionary, kila mtu ana uhuru wa kumpa mtoto wake jina analolipenda hata akiitwa ubwabwa

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 12, 2009

    Simply beautiful family! God bless.

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 13, 2009

    umependeza sana msichana
    safi sana,ndio mwanamke anatakiwa awe,ata ukishona kanga kistaili yan

    wanaume tuna kazi

    dah! unaita kinyamaaaaaa

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 13, 2009

    Wewe hapo juu uko dunia ya ngapi wewe...Hebu usinifanye nikatapika...Hivi hilo jina halijakujulisha tu yeye ni dini gani?....Hebu kama hujui vipu nyamaza...Atafute jina ktka dictionary amekuambia yeye ni christian?....Utambue kuwa hiyo iqra Uislamu inamaana na yeye amejua maana ya jina hilo ndipo akampa mwanae jina...ACHAGA KUBWATA BWATA NA WEWE KM UMEAMSHWA USINGIZINI

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 13, 2009

    wanadamu wengine bwana utoto mwingi Dada yangu mashallah mwenyezimungu azidi kukujalia upate na mwengine na mtoto aende najina mwenyezimungu amjalie awe Imam mkubwa hapa nchini au kokote nje ya nchi yetu inshallah au awe chochote kizuri amuepushe kwenye mabaya amuweke kwenye mazuri inshallah Amin.

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 13, 2009

    Mtoto sio wenu mabishano kibao! Hata akimuita jina gani nyie kina wauma nini? Ushamba mtupu!!!

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 14, 2009

    IQRA BISMI RABBIKA LLADHII KHALAK.
    SOMA KWA JINA LA MOLA WAKO. Hilo ni jina kubwa na hiyo ni miongoni mwa aya katika Quran kwa hiyo acheni kuropoka ropoka msiyejua maana hilo jina nzuri na mtoto maashallah Mungu Amkuze salama Ameen.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...