HABARI wadau wote wa filamu na kiwanda chake hapa Tanzania.

Zanzibar International Film Festival/Tamasha la Nchi Jahazi linaandaa
Mafunzo ya muda mfupi/Training Workshop wakati wa kipindi cha Tamasha
27/06/09 mpaka 04/07/09 ndani ya Mji Mkongwe, Zanzibar.

Wito kwa watengenezaji filamu wote wa Tanzania kujifunza namna ya
kuandaa filamu kwaajili ya watoto, nauli na maradhi yote DFI/ZIFF
watagharamia.

Kwa yeyote ambaye angependa kushiriki naomba aniandikie email
akiambatanisha na CV yake na namba ya simu katika 
e-mail:
filmdept@ziff.or.tz


Daniel Nyalusi
Events Coordinator/Film Programs
Zanzibar International Film Festival 2009

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 11, 2009

    Huyu mtu anasema gharama za maradhi zitagharamiwa, heee! anaenda kuwapa watu wa maradhi kwa hela.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 11, 2009

    na maradhi pia mtawapa?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...