Kuanzia kulia ni mwakilishi wa Mwasu Fashions Bw.Sam Mshana,Manakamati wa Miss IFM 2209 Bw.Sarungi Daniel,Mwenyekiti wa miss IFM 2009 Peter Sarungi pamojana Mjumbe Bw.Lazaro Lutobeka walipokuwa wakizungumza na waandishi wa habari leo jijini dar kuhusiana na shindano hilo la Miss IFM 2009 ambalo kesho usiku ndio itampata kinara wa shindano hilo litakalofanyika ndani ya ukumbi wa New Msasani club,Kinondoni Jijini Dar.
Home
Unlabelled
Miss IFM 2009 kupatikana kesho dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mh dada zetu ati twajisifia juu ya urembo, mie siwaelewi,nanyi wasomi mnaparade, oh iko kazi. Ila ni fani ongezeni juhudi, maana pengine miaka 100 ijayo mtatoa miss dunia
ReplyDeleteNishamwaga mieeeeeeeee.
ReplyDeleteWIZI MTUPU.
ReplyDeleteENZI ZA MWL. MAMBO KAMA HAYA TULIYAPIGA MARUFUKU KUTOKANA NA KUHAMASISHA NGONO. MTOTO WA KIKE KUACHA KITOVU WAZI MAANA YAKE NINI? JE, UNAFANYA HIVYO ILI KUAMSHA HISIA ZA NGONO KWA WANAUME? NA HISIA HIZO ZIKISHAAMKA, KINACHOFUTA UNAKIJUA?
SAWA WEWE UTAPATA HIVYO VIJISENTI UNAVYOVIHITAJI, LAKINI USISAHAU NA UKIMWI PIA. INGELIKUWA ENZI ZA MWL. VIBINTI KAMA HIVI TUNGEVICHALAZA MBOKO, NA VINGELIKOMA KULINGA!!!!!!!!!!!! TENA KWA VILE TAYARI VIKO UCHI UCHI!!
Hii mambo inaitwa Update(Eti unaenda na wakati)ndio inatuaribia watoto,maadili yanazidi poromoka. Huyu ni msomi halafu anaacha kitovu au tumbo wazi,Yote hiyo nikutafuta umaarufu wa kijinga. People of nowdays wanapenda kujulikana ilimradi misifa tu. Sasa Ukishapata U-miss chuo kinachofuata ni kuzurura na midume mtaani na out kibao.Si tunawaona waliopita hapo Chuo hakuna tena kumalizika. Mbona kila siku Ma-Miss nawadhamini ma-MR Kama kweli tunapenda maendeleo.tumechoka na wauza sura tuangalie njia nyingine ya kuleta maendeleo.
ReplyDeleteWatoto mnaacha kusoma mnakimbilia urembo;kweli elimu ya siku hizi rahisi
ReplyDeletenyie majuha
ReplyDeletehii ni mojawapo ya faculty/kitivo katika vyuo vikuu vya bongo asa pale mliman kuna fine &performing arts!!tena unapata first class yako degree uyoooooo....hahahaaa
mshawaonaga???? aya ndo mambo yao so hakuna cha uchi wala nini!!
vibwaya na matiti nje ndo jadi asili yetu kabisa
Huu Ushenzi utaisha lini? Hawa Wakakae wasome waache Upumbavu na kutafuta cheap money. Wakifeli watasingizia Ohh Mwalim Fulani alikuwa ananitaka wakat upuuzi mtupu. Bahati Mbaya wengine hawafanyi hata mitihani hufanyiwa...Then wanakuja kujidai eti wasomi...
ReplyDeleteTabia ya Kuiga ni Tabia ya Manyani...
Mi nawashangaa nyie mnaowapa jina la wasomi. Hivi jamani IFM napo kuna wasomi?? jamani jamani msituchanganye
ReplyDeletewadogo zangu, huo urembo uwepo na kichwani basi, maana sio iwe ndo urembo mwilini halafu akiingila mwalimu darasani network inakata. maisha yenyewe haya bila shule lazima ufulie kama wakina fulani. Pigeni shule na huo urembo fanyeni pale mnapokuwa na muda sio kumix ma Financial accounting ya IFM.
ReplyDeleteNoma,mambo ya umiss hayabelong vyuoni jamani.Mnataka mademu wasisome eeh?? kila kukicha mamiss wa bongo ni skendo na umalaya,hakuna jipya.Yaani kwa kweli nawaunga mkono wazazi wanawakataza watoto wao wasishiriki umiss.Umiss bongo ni kujinadi na kujiboreshea soko la umalaya.Ovyooooo,mnanikera kweli.
ReplyDelete1.kamati iyo mbona wavulana watupu
ReplyDelete2.sarungi mbona weeengi ivo,ni mradi nini?
3.ivi umiss wa kunengua ivo ushafika vyuo vya elimu ya "JUU"?
4.mbona iyo meza imejaa maji ya mlima kilimanjaro
5.vodacom ndo wadhamini???
6.grow-up
ni hayo
. Maskini,waoga na washamba-SUA
ReplyDelete2. Matajiri,wajanja na wenye akili-MZUMBE
3. Wenye akili chache,wavivu na matozi,master duu-CBE DAR
4. Malaya, wasanii,wauza sura na wasio jiweza kiakili-IFM
5. Upeo mdogo,wapenda sifa na watoto wa mama-TUMAIN UNIVERSITY
6. Wazalendo wenye asili ya Arusha na Moshi-MUCCOBS
7. Wastaarabu wapenda nchi wanajua nini maana ya Elimu-TIA
8. Waliokosa vyuo kabisa-RUCCO
9. Mafundi-DIT,ST JOSEPH
10. Wapenda dezo na wamekosa nafasi UDSM-UNIVERSITY OF DODOMA
11. Wasiojali future-SAUT,USTAWI WA JAMII,MWL NYERERE,MAGOGONI,UHAZILI TABORA,CBE DODOMA
12. wenye uwezo wa kipesa na kiakili but walifeli 4-6-IAA
13. Wanaosoma sana but silent-ST JOHN,KCMC,BUGANDO,
14. Wasiofahamu umuhimu wa elimu-CHUO CHA MIPANGO DOM,ZANZIBAR UNIVERSITY,MORO MUSLIMU,NYUKI TABORA
15. Wakujitolea na future duni-DUCE,MUCE,KIGURUNYEMBE,nk
16. Wasiojali nchi mamluki-ABROAD
17. Watu wa sifa zote hapo juu za kila aina-University of Dar-es
Matangazo ya biashara hayo...WIZI MTUPU HAMNA HATA MMOJA ALIE MZURI HAPO...WANAHAMASISHA UMALAYA TUU. KAZI IPO BONGO SIKU HIZI...U-MISS UMEKUWA CAREER BONGO...UKIMWI NJE NJE...POLENI
ReplyDeletejamani tukomeni wanafunzi wa ifm, kila mtu anashiriki miss kwa utashi wake, sawa. IFM nichuo cha usimamizi wa fedha, ukitaka kusoma utasoma na anayetaka kucheza ruksa.
ReplyDeletewe anony wa 3:19 umechemsha. nani kakudanganya wenye akili na wajanja wapo mzumbe. mzumbe wanaenda wale waliofoji vyeti tu. wengi wanatumia vyeti vya watu marehemu, na walioko nje!! mzumbe wanafunzi na walimu mnabageini maksi. watoto wa kike mzumbe wanafaulu kwa kuvua chupi kwa walimu vijana!!! wengine walio wengi wanafaulu kwa vimemo kutoka kwa makatibu wakuu na mawaziri kwenda kwa mkuu wa chuo wenu kilaza vikimtaka ahakikishe kuwa fulani anafaulu hapo ndipo mkuu wa chuo humuita mwalimu husika na kumpa maelekezo kuwa hakikisha kuwa fulani anafaulu usiniangushe!!
ReplyDeletemzumbe hamna kitu kuko loose sana ndo mana hata walimu wengi wanasoma digrii zisizoeleweka.mtu anafundisha somo x lakini ana digrii ya somo y wapi na wapi, na wengine ndo kwanza wana digrii feki za udaktari sasa hapo utasemaje wenye akili na wajanja wako mzumbe umechemsha. mzumbe na nyie mtaongea mbele ya watu???
Eeeee bwana kweli bongo tambarare yaani hao ndiyo viongozi wanaoongea na wanahabari kuhusu shindano la miss IFM mbona watu wenyewe choka ile mbaya wamepauka- pauka ,kama wadhamini wako vile du miss atakaye toka hapo ni tatizo....
ReplyDeletekuhusu hao watoto watu wanawatumia hiyo ni deal ya watu fulani... lakini kama miss Tanzania alikuwa mmoja tu katika historia ni Nancy ambaye at the first time i was proud to be Tanzania that day..well done baby hao waliobaki wanatafuta njia ya kutokamo...Miss hawezi kuwa hivyo bwana hawako smart,presentable as miss con.....
MDAU WA KAMACHUMU