Home
Unlabelled
Musyoka atua bongo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
MIMI NIKIONA KK ANAVYOANGAIKA NA HAWA JAMA WA KENYA.
ReplyDeleteWAKATI BONGO MAMBO KIBAO HAYAENDI NASIKITIKA SANA.
WAGENI WANGAPI WANAFANYA KAZI TANZANIA KWA KUTUMIA VIPALI WAKATI WATANZANIA HAWANA KAZI.
HII BIASHARA YA WATANZANIA KUJIKOMBA KWA WAGENI NA KUWA ACHA WATANZANIA HALISI TAABANI, INADHALILISHA NA KUTIA UCHUNGU SANA.
MUNGU ATUSAIDI LABDA SIKU MOJA WAMATUMBI TUTAAMKA NA BADO TUTAKUA NA NAFASI...
Taratibu naona JK mvi zinaanza kumtoka kwa wingi. Kweli urais sio lele mama!
ReplyDeleteAkija kumaliza ngwe yake kichwa kinaweza kuwa kama cha swahiba wake Lowassa!
mimi ninauliza huyu mtalii wetu anavaa bullet proof ya nini? kuna wa kumpiga risasi kweli huyu?
ReplyDeleteangalu wakenya wangemchagua huyu kuwa Rais wao!maana sura yake inapendeza kidogo ,lakini kwa baahati mbaya kenya hawajawai kuwa na Rais anayeweza kupamba ata jarida kwa kuweka picha yake mbela ya magazine.
ReplyDeleteNa bahati mbaya hiyo imewakuta pia waganda toka wapate uhuru kuanzia marehemu Obote,mpaka Idd Amini,si Yusuf Lule wala Benaisa,wala Okelo
na huyu Dikteka mpya Mseveni aka M7 ndio kabisa ! wote hawakuwa na sura za picha za kupamba majarida,kama vile marais wa Bongo.
Anony wa 5;17 kweli unawakilisha watanzania wala si utani jamani. Hivi nani alikuambia urais ni sura jamani kumbe ndio maana tunaliwa? Sasa kama urais ni sura huko kwenye umiss na umr itakuwa nini ndugu? Siamini hayo niliyoyasoma kama ndivyo ulivoandika inabidi nisome tena kwa kweli duh si mchezo kama hii ndio hali halisi then basi kazi kubwa ipo!!!
ReplyDeletewewe anony wa 4:33
ReplyDeletehivi wewe ujui siku hizi pamoja na Rais hawe na sera nzuri za kuongoza nchi lakini sura pia ni muhimu! Sasa mfano Rais Mseveni,inabidi avae kofia ya Kanda Bongoman kuziba Chogo lake,
Si Unakumbuka rais mstaafu Ben Nkapa,wataalamu walimushauri asikubali kuwekwa picha yake katika sarafu ya pesa ya tanzania kwa kuwa sura yake haiwezi kupamba sarafu,wewe vipi?