Msanii nyota inayong'ara Nakaaya Sumari (shoto) akiwa na nanihii pamoja na mdogo wake Patra walipokutana kwenye mkutano wa Sullican A-Taun mwaka jana. 

Nakaaya  anazidi kuonyesha kipaji chake katika muziki. Mfano mzuri ni huu wimbo uitwao I am An African ambao ni toleo jipya likiwa lililofanyiwa ukarabati na maujuzi na producer mahiri Hermy B. 

Ndani ya wimbo ameshirikishwa Chid Benz ambaye bila kusita amenata na beats vilivyo. Usikilize "I am an African" kwa kwenda 
www.bongocelebrity.com
 Kila la kheri Nakaaya. The world is watching! Keep rockin

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 16 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 14, 2009

    hapa mbona anafanana na marehemu MIRIAM MAKEBA.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 14, 2009

    Huyo mdogo wake mbona balaa hilo?
    Watu wanalala kweli huko Arusha?

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 15, 2009

    Michuzzi usibanie comments, hayo ni mambo ya studio tu, hebu tuwekee live aliyofanya Danmark alichemka hujaona alikuwa anaanza na key hii anamaliza na nyingine. sasa tuwekee hiyo live tena tusikie.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 15, 2009

    Hawa madada wote mashallah hasa huyo mdogo aliyesema wanalala kweli watu Arusha si utani, mh michuzi itabidi niwe nakufata nitakuwa nasema wewe baba mdogo wangu hahaha. Kuhusu nyimbo ya nakaaya Ukweli na maoni yangu sio nzuri sana mwenye nyimbo Beat ingekuwa vizuri kama ingekuwa za Kiafrica Chidi Benz kachana vizuri pamoja na kuna mwanamke mwisho kadakia kaimba vizuri naye ila Nakaaya kwenye hii nyimbo yake kachemsha yeye. ila anafanya kazi nzuri. xxxxx

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 15, 2009

    Nishamwaga.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 15, 2009

    Kwani Michuzi kuweka link ambayo ukiclick unaenda kwenye hiyo blog shilingi ngapi. mtu mpaka acopy hiyo URL. Najua unaweza kuweka link.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 15, 2009

    Wimbo wenyewe mmmmbaya. Wala sio mzuri kelele tu

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 15, 2009

    jamani wacha niseme ukweli,miye hiyo nyimbo wala sioni kama ni nzuri,nashangaa watu wanavyoifyagilia.Au kwa vile kapata mkataba na Sony basi kila kitu afanyacho ni kizuri???
    Mr. politicial aliimba vizuri kwa kweli ila hii mmh thumb down.

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 15, 2009

    hongera aliyevaa thuti ametoka mchicha

    ReplyDelete
  10. Baba UbayaMay 15, 2009

    acheni "mtima nyongo",huyu dada sijawahi kusikia nyimbo zake before lkn hii track imetulia.kuanzia beat na hata jamaa aliyefanya feat. naye kakamua fresh.

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 15, 2009

    Watu wengine bwana....hovyooooo! Picha tu mnamwaga, je Live inakuaje? tamaa hizo!!!

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 15, 2009

    Kweli globu ya Michuzi imejaa haters! mbona wimbo ni mzuri sana, tumpe credits zake Mtanzania mwenzetu jamani!

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 16, 2009

    mikonozzzzzzzzzzzzzzzzzzz

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 16, 2009

    heee balzo wa nanihii...unahamasisha sana bwana

    hahahahaaaa

    tumeona

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 16, 2009

    Nimemwanga kweli kikweli kweli akiwepo mbona ndio sekunde nusu tena.

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 18, 2009

    sullican jamaani me sijaelewa- au ndo a.k.a ya sullivan

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...