Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw. William Lukuvi (kushoto) akipokea Msaada wa chakula na mablanketi kutoka kwa Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Dorris Malulu, vyote vikiwa na thamani ya sh. milioni 10 kwa ajili ya kusaidia walioathirika na milipuko ya mabamu Mbagala, Dar es Salaam. Hafla hiyo ilifanyika eneo la Mbagala Kuu, jijini.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw. William Lukuvi (kushoto) akipokea Msaada wa chakula na mablanketi kutoka kwa Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Dorris Malulu, vyote vikiwa na thamani ya sh. milioni 10 kwa ajili ya kusaidia walioathirika na milipuko ya mabamu Mbagala, Dar es Salaam. Hafla hiyo ilifanyika eneo la Mbagala Kuu, jijini.
huyu Lukuvi anaonekana ni braza man, ni bora hata kandoro tu.
ReplyDeleteHongera Dorris Malulu. Nimefurahi sana kukuona na kujua unaendeleaje kikazi. Keep it up.
ReplyDelete