Huo uzi wenu wa away mwakani chamtoto tu, cheki uzi huo wa darajani, mtakoma ubishi, bandika basi na hii. kudadadaddaadeki...
Mdau wa Darajani
--------------------------
Dah! kama jaketi la kuwindia. Mi homa.... tehe tehe tehe...
- Bwawazzzz

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 15 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 14, 2009

    Utauona vizuri jumamosi tarehe 30 may pale wembley. Uzi huu wa sasa tulikosea sana kuuchana kule Urusi hatukuomba dua vizuri ndio maana JT akatereza akiashiria msimu wa kuteleza na kuonewa na marefa,mfano mechi na Arsenal pale darajani,Livepool kadi ya Lampard,Goli la Kalou na Blackburn, penalti ile na Hull city, Anelka na Everton game ya kwanza,sasa ukipiga mahesabu harakaharaka utaona kama points 10 hv zimebaki kwa marefa( 10+77 utapata jibu tungekua wapi,achilia mbali juhudi binafsi za Mr.Ovrebo.Lakini wa sasa tunabahati nao, kwani japo Hiddink anaondoka Carlo Anceloti ameshasaini miaka mitatu soma hapo mstari wa mwisho chini kwenye title ya Playing career.,
    mdu wa The infinity color

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 14, 2009

    Michuzi nawe mambo yako bwana ,sasa siku wakicheza na Everton pale Godson Park Everton atavaa jezi gani? Au wakienda kucheza na Man City itakuaje? Wadau wa Blue wanasema hiyo ni home kit kaka

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 14, 2009

    mbona huu uzi wa chelsea ni kama vile bullet proof???!!!. mtakuwa mkicheza soka huku pia mkijilinda na risasi??? umetuna sana wala hauvutii kabisa

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 14, 2009

    Hapo kweli bwawa lishalowa kwa uzi tu. adidas kiboko.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 14, 2009

    Uzi unatisha. Very good design. Shetani wekundu tu ndio wanavaa mitumba kila siku!!!

    ReplyDelete
  6. Mdau wa Gunnerz, SoharMay 14, 2009

    Sasa wazee wa darajani, mambo ya risasi na soka wapi na wapi??

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 14, 2009

    Duuh chelsea noma uzi una buleti pruf
    Mdau
    kisiju pwani

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 14, 2009

    Mdau 2:54, kwenye lugha yetu adhimu ukishaweka ...NGE.. ujue ngoma ishachanika. terry asiNGE..., Ovrabo asiNGE..., Kalou aNGE..., Siye na Scolari tuNGE... aaahhhh. SORRY, TRY AGAIN NXT TYM.

    Gordon Chiggs,
    ANFIELD or DIE

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 14, 2009

    this is chelsea's home kit. why do u say its away's?

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 14, 2009

    huo uzi umetulia, wa mashambulizi ya kivita vile! wavaa mitumba watakoma.heshima inarejea msimu ujao darajani.

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 14, 2009

    duh! mbona hivi jamani?! Au mwaka huu mmepata dizaina wa formula one?adidas kwa hili wamechemsha sana

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 14, 2009

    Japokuwa mimi ni mshabiki wa Man U lakn hakuna timu niliyokuwa naiogopa kama Chelsiki na ninawashukuru referees kwa kutusaidi kuitosa hii timu kwenye UCL ...jersey zao zimetulia sana ..nimezipenda

    Big UP chelsea fans msikate tamaa ..

    TABU SAANI

    ReplyDelete
  13. Wabongo kweli rahisi kudanganyika.Hizi nyuzi zinazotolewa na vilabu(man U,Kop,Chelsea,Gunners) sasa si Official.Wenzetu wanafanya hivyo kupiga chenga wale wanaopenda ku-copy na kujinufaisha wenyewe.Subirini Summer iingie ndo mtaona nyuzi halisi.

    ReplyDelete
  14. Baba UbayaMay 14, 2009

    hiyo rangi ya bluu haiwezi kuwa ya ugenini.unless kama watabadili rangi ya jezi ya nyumbani.

    ReplyDelete
  15. Baba UbayaMay 14, 2009

    jezi ya Liverpool ya nyumbani ilikuwa itolewe kwa style hiyo hiyo isipokuwa rangi.yani nilipoona ile style few weeks ago nikaomba yani iwe ni uzushi tu lkn kama itakuwa kweli yani nomaa.style iko hovyo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...