MAMA YETU NA MWALIMU WETU MPENDWA FRIDA MTUNGUJA AMBAYE ALIKUWA ANAFUNDISHA SHULE YA MSINGI CHUMBAGENI TANGA AMEFARIKI JANA TAREHE 16/06/2009 SAA 22:46:12 KATIKA HOSPITALI YA BOMBO BAADA YA KUUGUA MARADHI YA HOMA YA MANJANO.
MSIBA UTAKUWEPO NYUMBANI KWAKE KISOSORA TANGA NA MPANGO YA MAZISHI INAFANYWA NA NDUGU NA JAMAA KWA WALE WANAOGUSWA KWA NJIA MOJA AU NYINGINE HASA WANAFUNZI WA CHUMBAGENI AMBAPO MAREHEMU ALIKUWA ANAWAFUNDISHA TUNAWAPA POLE SANA.
KUHUSU MICHANGO YENU INAWEZA KUTUFIKIA HAPA NYUMBANI AU HAPO SHULE YA MSINGI CHUMBAGENI TANGA.
UKIWA KAMA NDUGU, RAFIKI AU JIRANI UNAOMBWA KUFIKA KATIKA MSIBA HUU WA MAMA YETU /MWALIMU WETU MPENDWA.
KWA MAWASILIANO YA KUTUMA MICHANGO YAKO PIGA NAMBA HII +255717062827
NI YA MWANAE ANAITWA MICHAEL KUZIWA
( HUYU ANAFUNDISHA KULE PANGANI TANGA.)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 18, 2009

    Poleni sana kwa msiba mzito wafiwa. Ni masikitiko makubwa kwa ndugu, jamaa, marafiri, majirani, watu wote walomjua Mwalimu Mtunguja, pamoja na wanafunzi wote waliosoma na wanaosama shule ya msingi Chumbageni.Sisi tulimpenda dada/mama yetu, lakini Mungu alimpenda zaidi.Tunamwomba Mungu aiweke roho yake mahala pema peponi. Amen.

    Jirani (Mangi family) shule ya Msingi Chumbageni

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...