



Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Heshima kwako mkuu wa wilaya. Huyo bibi ni kweli ni kioo cha jamii.
ReplyDeleteNaomba utuwekee angalau moja ya nyimbo zake za taarab ili tuweze kuburudika, kama inawezekana.
Niliwahi kumsikia akiimba ``muhogo wa jagombè`` tu enzi hizoooo. Nadhani anazo nyingi na nzuri.
Natakunguliza shukrani.
Hayo ndiyo mambo tunayotaka kuona, kumuendeleza mtu regardless of his/her age or race, now you really showed Tanzania an example we are looking for, kama marekani mtu anapata degree,master degree akiwa na miaka 92 why not Tanzania kumwendeleza Bi Kidude Ngome ya Utamaduni wetu? Bi Kidude Juu na udumu daima and God Bless you, endeleza kufanya mavituzi yako bibi yetu.
ReplyDeleteHii ndio hasa, ushirikiano katika usanii, Buti Jiwe hangera sana kwa ushirikiano na Bibi yetu, katika fani hii ya muziki.
ReplyDeleteHii imeonyesha kua hakuna tofauti ya mwanamuziki mkongwe na mwanamuziki wa kizazi kipya.Bi kidude ni kama nemba ya nchi yetu popote pale,anapokwenda.
kamwene bela mwagito Galinoma Jr
ReplyDeletendi muyago wa kulaa ku-boma
hongera sana kijana hongera sana bi kidude