posta ya MJ kuadhimisha hafla ya kumbukumbu leo katika ukumbi wa Staples Centre huko Los Angeles, Marekani ambapo mamilioni ya wadau duniani kote walishuhudia mfalme huyo wa Pop akiagwa rasmi kabla ya mazishi ya kifamilia baadaye
mamia ya wadau wakigombea kuingia Staples Centre
Msafara wa MJ wakielekea kwenye hafla hiyo

Los Angeles ilisimama kwa masaa kadhaa kumkumbuka MJ
Michael Jackson’s Memorial
Online Traffic Pushes Internet’s Limits

Akamai says that it was the second largest day in terms of total traffic on its network. Akamai delivered more than 2,185,000 live and on-demand streams in both the Flash and Windows Media formats. Total traffic on the Akamai network surpassed a rate of more than 2 terabits per second during the memorial service.
Akamai says that it delivered 548 Gbps of live and on-demand Flash streams utilizing Adobe Flash technology.

There were about 3,924,370 visitors per minute at 1 p.m. EST and more than 3.3 million visitors per minute. That is second only to the 4,247,971 global visitors per minute who visited news sites on June 25th when the news of Michael Jackson first hit the web.
Unlike June 25th, there weren’t many outages reported, but there were widespread slowdowns. According to Gomez, a company that monitors the web, the performance of the home pages of seven of the mainstream news media sites between the hours of 12.45-3pm EST had availability that ranged as low as 98.2% even though the response time was slower than usual.
Response time (page load times) ranged from 6.5 seconds to 18.5 seconds (usually spans 3.5-7.3 seconds,) according to Gomez. However, when it comes to live streaming, Gomez saw lots of rebuffering (i.e.. video ‘stalling issues’) at these news sites — with time spent waiting rather than watching was below 5% in US but as hight as 40% in Asia.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...