Home
Unlabelled
niaje NASACO??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kaka lina kesi hilo mahakamani. Nafikiri ni wafanyakazi hawajalipwa mafao yao ndo wamefungua kesi.
ReplyDeleteTaasisi na Wafanyabiashara kibao wameshalisarandia hilo kutaka kununua na kuporomosha kitu cha maana hapo lakini wamegonga mwamba wameambiwa lina kesi kwanza.
We unafikiri lingekuwa frii hilo MANJI angeliachia hilo tu mpaka sasa?
Kazi na NASACO zilitawanya ktk makampuni mbali mbali, nyingine wanafanya TPA, TICS na nyingine meli zenyewe zinatafuta wakala. Kwa bahati mbaya kama ilivyo ktk masuala mengi ya kubinafsisha hapa nchini wale wakubwa walioshiriki ktk mchakato huo ndio waliochukua kazi zilizokuwa za NASACO.
ReplyDeleteMdau Mlevi I thought Manji alishinda tenda ya kulinunua zaidi ya mwaka umepita,maana tenda ilitangazwa na PSRC mwaka jana?
ReplyDelete