leo anko nanihii ana furaha na fahari kubwa kumtambulisha rasmi michuzi jnr ambaye ameshafuzu libeneke na kuvaa viatu vyake (anko) katika shughuli mbalimbali za kumeremeta na minuso. ukimkosa anko nanihii na kumpata jnr. kwenye shughuli yako mambo ni mswano tu. yeye ni mfanyakazi wa prime time promotions na pia ni mwendesha libeneke la JIACHIE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 16 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 14, 2009

    mbona hujamuweka kwenye link yako ya blog mbalimbali?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 14, 2009

    Shut up, I mean keep your mouths put/closed.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 14, 2009

    Anko kumbe unamtoto mkubwa hivyo!! lakini inaonyesha hataki konozzzzz

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 14, 2009

    Mheshimiwa anko nanihii hongera sana kwa kufua ze fulanazzzzz leo.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 14, 2009

    mbona hamja link huyu tumuite kijana wa libeneke,no mikonoz.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 14, 2009

    michuzi mkubwa u look sexy,though i miss ze fulana

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 14, 2009

    Anko!naniino! huyo mheshimiwa mwenyekiti wa jamvi laa jiachie,hapendi mikonozi utamchafulia shati lake,lakini wewe anko !usikii kwanini?

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 14, 2009

    NAUNGANA NA WA KWANZA MUWEKE NA YEYE KWENYE LINK YA GLOBU MBALI MBALI AU UNAM BANIA TUNAJUA HAWEZI KUKUFIKIA.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 14, 2009

    Jnr Shukrani kwa picha zetu za harusi, mungu akuzidishie Inshaallah.

    I would like to stay in touch
    bakashella@live.nl

    Bakari
    NL

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 14, 2009

    ...nakupenda sana michuzi mkubwa...

    seriously siku nikikuona tu jaman usije nichapa kibao tu maana NTAKUWAWOOO ujue tu mie ni mdau wa globu ya jamii,sawa???sema sawaaa

    (ivi ni blogu au globu?)

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 14, 2009

    MICHUZI UNAKUWA KAMA SIO MZEE WA BWAWA LA MAINI? WACHEZAJI WAKITAMBULISHWA RASMI WANAKABIZIWA NA JEZI AU UMESAHAU ? SASA HAPO ULITAKIWA UMKABIZI ZE FULANAAAAAAAAAAAAAAZ HA HA HA HA.HAKIKISHA ANAVAA FULANAAAAZ KWENYE MINUSO .

    ReplyDelete
  12. NautiakasiJuly 14, 2009

    Nlijuwa comment yangu utaibana "NYAU WEEE" hupendi kuwambiwa ukweli eeh. Paka wa kimatumbi we! Na hii usiweke! Kama hupendi kuambiwa ukweli, si ungeifanya blog ya wewe na mkeo tu, mkafurashana ndani!

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 14, 2009

    ....michuzi unaonekana mdogo kuliko huyo mtoto wako,unakula vizuri au asili tuu? tupe siri yako

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 15, 2009

    Iko siku hawa kima waliokuwa wanakutisi namna hii watasimama ili upite , akutusi hakuchagulii tusi lakini michu sasa umefikia wakati wa watu kufanya mambo makubwa sie fisi maji wote tulio ughaibuni tunakutazama wewe kama kioo cha habari na mwangaza sasa wee vumilia tuu hii mitusi maana kuna wenzetu wengine ni watoto wa ugoni na hawana mila wala desturi

    zidumu fikra za mwenyekiti

    ReplyDelete
  15. AnonymousJuly 15, 2009

    mitoto ya lango la uani utaijua tuu waambie "jiachie" ni mdogo wako weshaanza tete , kweli kuna tofauti ya kima na ngedele, bora ya nyani yee kutembea uchi jadi yake

    ReplyDelete
  16. AnonymousJuly 15, 2009

    Michu toa utambulisho wa kutosha hapa. Jr ni mtoto wako au mdogo wako? Naona wanajamii wanataka kujua. Tafadhali weka utambulisho wazi, biashara ati hii!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...