
Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dk. Margaret Chan akijibu maswali ya waandishi wa habari katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere usiku wa leo mara baada ya kuwasili nchini kwa ziara ya siku tatu. Kulia ni mwenyeji wake Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Prof. David Mwakyusa. Picha na mdau Aron Msigwa wa MAELEZO.
Goodmorning, what does WHO stands for please?? thanks.
ReplyDeleteWHO stands for World Health Organisation, is an UN agency
ReplyDeleteThe first anonymous, please don't be lazy, now days almost all the information are available on the internet. Just google WHO and you will get it.
ReplyDelete