Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dk. Margaret Chan akijibu maswali ya waandishi wa habari katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere usiku wa leo mara baada ya kuwasili nchini kwa ziara ya siku tatu. Kulia ni mwenyeji wake Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Prof. David Mwakyusa. Picha na mdau Aron Msigwa wa MAELEZO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Goodmorning, what does WHO stands for please?? thanks.

    ReplyDelete
  2. WHO stands for World Health Organisation, is an UN agency

    ReplyDelete
  3. The first anonymous, please don't be lazy, now days almost all the information are available on the internet. Just google WHO and you will get it.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...