Baadhi ya wajumbe wa halmsahuri kuu ya taifa ya CCM wakati wa mkutano wao ulioanza jioni ya leo mjini Dodoma
Baadhi ya wajumbe wa halmsahuri kuu ya taifa ya CCM wakati wa mkutano
huo Katibu wa Itikadi na uenezi wa Chama cha Mapinduzi Mheshimiwa John Chiligati akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa kikao cha kamati kuu ya CCM mjini Dodoma jioni hii. Kikao cha Halmashauri kuu ya CCM kilitarajiwa kuanza baadaye.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Michuzi,Acha U-ccm tuwekee matokeo ya premier league.unajifanya hujui kwamba mambo yameshakuwa mambo.Spurs wameshawatungua 2-1.Jana washika miguu ya kuku tumewanywesha Everton goli 6-1 tena kwao.

    ReplyDelete
  2. Subject: FW: RE: MY NIGHTMARE IN TANZANIA
    Date: Tue, 4 Aug 2009 15:04:53 -0400
    From: Ray Bergen
    To: Lisana Koliskowski
    Hello Lisa,
    I am glad to be back in America after such a disastrous trip to Tanzania. The most important thing was getting back home safely and seeing my family. The only thing I can assure you is that, I will never set my foot in that country, and will advice anybody planning to visit Tanzania to refrain from doing so.
    The nightmare started at the airport, when my luggage checked in from Amsterdam disappeared mysteriously in Dar es Salaam. And my inquiry with the airport authorities was forwarded to the police. At the police station (Central) I was told that I could not get help unless I bribe them $500, because they needed the money for fuel and other necessary needs to investigate the theft. Supposedly the police officer did not open the case and turned me to be the criminal, constantly coming to my Hotel room, asking me for money. In short all my four year work was lost with the laptop at the Airport.

    Came clearing the vehicle we were supposed to use in the research, from the agents to the customs authorities, the vehicle exceeded the actual cost. I would have paid $38,000 for a $16,000 vehicle. I could not bear being in such a corrupt country and decided to terminate my research, and left the vehicle uncleared after one month of struggle with the customs, who needed money after money and bogus letters.
    Supposedly these exuberant fees were not supposed to be there in the first place, because all registered NGO’s are supposed to be exempted from paying these taxes and fees, but then the deal had been cooked to rip Muzungu off. Being a Muzungu is being a cash cow in Tanzania. They don’t even fucken know that we are trying to help them. I pity the African continent and her people, I am glad they did not confuse me with Albino.

    Please advise any potential traveler to Tanzania to look for alternative country to visit, and if possible pass the message to the State Department as a warning to other Americans intending to visit this poor and corrupt country. I visited Botswana with my family in 2006.
    I tell you, could not be more satisfied with their politeness and straightforwardness , the same was in Mozambique where we received utmost hospitality. Please, be careful and only travel to Tanzania when there is need and not to visit and do not carry any valuable. As soon as you arrive, register with the American Embassy
    Sincerely,
    Ray Bergen

    ReplyDelete
  3. Huyu mzungu koko gani anatapika broken? Aingie mitini vile vile kwani hakujua kuwa anakuja Africa? alidhani anakwenda Phoenix, Arizona? Hebu tuache na Bongo yetu kwanza makampuni yenu yanakuja kuchangia kufilisi rasilimali zetu na kucorrupt viongozi wetu.. Asilete za kuleta!!

    Mdau, Boston, US.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...