



The complex buildings with title deed are located at Makongo Juu CCM, Kinondoni District, Dar es salaam Region.
]There are two parts of the complex buildings.
Part One contains:
- A bungalow which has open parking for three cars. It has two self-contained rooms of of it is master bedroom, two bed rooms and study room, good furnished kitchen. It also has a very spacious living and dining rooms, toilet, shower room and very specious front and rear verandahs
- External toilet shower and laundry room
- Three underground water tanks reservoir each with the capacity of 35,000 liters
- A well pipe rainwater catchments from the roof
- Pavement walkways around the building
- Good and big garden
- Strong block-wall fencing with grill nail on top
- A bungalow which has open parking for three cars. It has two self-contained rooms of of it is master bedroom, two bed rooms and study room, good furnished kitchen. It also has a very spacious living and dining rooms, toilet, shower room and very specious front and rear verandahs
- External toilet shower and laundry room
- Three underground water tanks reservoir each with the capacity of 35,000 liters
- A well pipe rainwater catchments from the roof
- Pavement walkways around the building
- Good and big garden
- Strong block-wall fencing with grill nail on top
Part two contains:
-Two very large buildings
- One very large foundation for building another house
- One building with self-contained room, two rooms for toilet, shower and one bed room
- One building with three rooms
- One underground tank for rain catmint water
- Small building for guard dogs
- Very large garden
Asking price is 750 million Tshs
but negotiable
Serious buyers contact
+255 773 286 693
(no middle-men)
Serious buyers contact
+255 773 286 693
(no middle-men)
I really want the property. Would you please advise how I could get a loan to fund it? Otherwise, you will only be tempting for an EPA-like thought or is it all now said and done?
ReplyDeleteJe bei hiyo imetolewa baada ya property valuer kupitia au ni ya mazungumzo ya baa?? Maana kwa bei hiyo sehemu yoyote duniani unapata nyumba hasa na sio mabanda yenye ma-simtank!.
ReplyDeletemhh bilioni kasoro 250 hapo parefu
ReplyDeleteHuu si wizi tu, nani atanunua uchafu huu. Hapa Marekani kwa pesa hiyo unapata hekalu la ajabu. Nairobi kwa dola laki tatu unapata nyumba bora mara kumi ya hii. Tanzania nchi ya hovyo sana.
ReplyDeleteTSH.0.750 BILION YOU MUST BE JOKING. HAPA US NA FEDHA HIYO NITAISHI KAMA P DIDDY NA CHANGE YA MAANA INABAKI.SIO HAPO MGAO WA MAJI NA UMEME, POOR INFRASTRUCTURE ETC.
ReplyDeleteNarudia tena ---- BONGO SIKU HIZI KILA MTU NI FISADI --- full stop.
ReplyDeleteWith this amount of money you can buy two apartments in SA which pays much than the house am seeing. Kuweni makini na properties Tanzania zimekuwa za ghali kupita kiasi.
ReplyDeleteMichu mdogo wangu. Haya ni yale yale tuliyosema kwamba watu Tanzania wanajisemea tu, million mia kadhaa kwa kuuza uchafu kama alivyotangaza huyu mjoba hapa. Jiulize unanunua nini na kwa nini ili ulipie gharama zote hizo! Hiyo pesa unaweza kuwa na nyumba mbili nzuri karibu na kule cleverland ranch, ca!! Michu mdogo wangu jaribu kuwachunia watu kama hawa. Naomba kutoa hoja yangu. Mtoa Hoja ndogo ndogo (MH)
ReplyDeleteKAKA Michuzi samahani naomba kuuliza nini maaana ya large house mimi bado kuelewa naona kama banda la kuku wa mayai au nyama sasa ni kwamba jamaa anafuga au ndo mazingira ya eneo lile kama anafuga nyumba itakuwa na chombo ya mifugo na hiyo bei labda watu wa Epa,Makapuni lakini akina sisi Misoup lazima tuoji zaidi kipato chako asante kaka ni ni hayo tu.
ReplyDeleteBongo tambarareee, bei ya nyumba sawa na marekani!!! hiyo ni two thirds of a million us $$!!! halafu unalipa keshi kwa mkupuo mmoja!!! WIZI MTUPU!!! good luck mnunuzi, ham sina..
ReplyDeleteHivi hizi bei huwa mnakusudiaga nini?Ni nini kinachofanya nyumba ifikie bei hiyo hapo bongo?Matofari yanajulikana bei yake na hivo vigae bei inajulikana?mnapotamka m750 hapo ndio huwa nachoka kabisa!!hizi nyumba kama nyumba zingine kilichotia tofauti ni hivo vigae tu.
ReplyDeleteHUU NI UKAVU MACHO, DUH!.
ReplyDeleteSASA HIYO HICHO KIWANYA KIPO FIFTH AVENUE N.Y?
your money angry monster i can see the plaster on one of ur wall that house is going down and i hope no body will buy that peace of shit for that much. 750 millions? u must be creazy
ReplyDeleteMh! tehetehe! 750mil hey Zimbabwe $ or?
ReplyDeletefor that money! I will buy two houses in UK plus I will get a uraia. good luck any way! hope ypu will get a buyer(EPA)
ReplyDeletefor that money! I will buy two houses in UK plus I will get a uraia. good luck any way! hope ypu will get a buyer(EPA)
ReplyDeleteIf you want to be shockingly surprised ask who the hell owns this house and the large sorrounding premises. utaambiwa ni mfanyakazi muhasibu wizarani katika idara ya fedha, kama si hivyo basi utaambiwa ni meneja mradi fulani wizarani, mshahara Tshs 500,000/= lakini ana uwezo wa kujenga bangaloo na kumiliki eneo vyenye thamani ya milioni 500, na hapo utaambiwa ndo kwanza ana miaka mitano kazini!!!!
ReplyDeletehapo hajaamua kutangaza kuuza gari lake lenye thamani ya dola 180,000/= mh bondo yetu hii. haya shoto kulia shoto kulia tutafika tu.
wafanyakazi serikalini siku hizi dar wanaendesha RANGE ROVER SPORTS za milioni 180,000 si VOGUE tena.
ufisadi huu!!
hiyo hela nyingi hivyo, kuna mtu atakuwa nayo? Labda fisadi.
ReplyDeletekamwuzie Peter nalitolela lol!!
ReplyDeletejamani 2we serious na pesa za watu,milion 700 mmnh,(£350,000)!!!!
ReplyDeletehivi hizo hela mnafanyia nini huko bongo maana hatuwaoni hata kuinvest kwenye international markets kazi kuwa na nyumba ndogos nyiiingi.
Kaka michuzi tafadhali rejea posting yako ya mjomba Mrisho Mpoto, kuna comment moja ya mzungu vile alivyoboreka na mambo ya TZ, naomba tafadhali iweke kwenye heading yake separately kusudi watu wasome ili kouna nini kifanyike maana imeniuma kama nini mpaka nasikia hata aibu sanaana, na ikiwezekana iwekwe kwenye magazeti. Maana tunavutia investors while environment is not safe for them. Tutakufa maskini kabisaa.
ReplyDeleteWhat a joke million 750! The place where there's no peace ujambazi tele...I just wonder nani atanunua. For that amount of money I can buy a semi-detached at Calgary or peaceful city like Singapore! Acheni mzaha!!! That's way too much.
ReplyDeleteyou never know pengine hapo mahala pana madini yenye thamani kubwa,so wadau msiogope kama pesa ipo rusheni kete badala ya kupiga kelele!
ReplyDeletebonGo the land of millionares,yaani kila mtu siku hizi akiwa na kiwanja chenye banda tu basi value yake inapaishwaaa!!!,hii inatokana na wale fidas wakati wakitakiwa kutoka nje kwa dhamana,ka mnakumbuka,basi kila mtu kajumba kake na kiwanja kilikua kwenye nusu billion,inashangaza sana.
ReplyDeleteWapi? Kinondoni? Mbu tele, Wizi kibao, Umeme wa mgao, Maji nayo ndo hivyo tena, Plani hovyo hovyo HALAFU NITOE MAPESA HAYO Mhhh nitafia Ulaya mimi.
ReplyDeleteKILI
BG.
kwa hiyo bei, na mazingira hayo, basi ni nafuu kuishi san diego california ambapo kuna kila kitu muhimu, acha wizi wee sio sote mafisadi, hayo yote ni mabanda ya kuku.
ReplyDeleteAs a professional valuation surveyor my practice has some basic methods used to determine the value of land or property, such as:
ReplyDelete1)comparative method
2)contractor's method
3)residual method
4)profits or accounts method
5)investment method
ETC.
I was just wondering if the 0.750Billion TSHS quoted could be justified by any of the method used in my profession.
Anyway, may be in my country my profession is not considered.
Good luck with your business.
UNAJUA KITU NILICHOKIONA KATKA MAONI YA WATU WALIOTANGULIA NI KWAMBA,WENG WAO NI WABEBA MABOX.MIMI SITOI WALA SIWEZ KUSEMA SANA MAANA HUYO MUUZAJI HAJUI HTA KUTANGAZA KATOA UCHAFU TU,PENGINE ENEO LAWEZA KUWA ZURI NA PIA HTA NYUMBA YENYEWE.NAOMBA TUACHE CRITICS AMBAZO SIO ZA MSINGI KEJEL NA DHARAU.THAMANI HALIS YA HIO NYUMBA NI NGUM KUTATHINI MAANA HAIPO NA HAIJAONYESHWA VYEMA.ILA KWA MAELEZO INAWEZA KUFIKA 400M TZ SHILINGS.
ReplyDeletetuache wivu kidogo basi,tusonge mbele.
california
Jamani mimi nina hitaji sana hiyo property lakini nina shilling million 50 tu.
ReplyDeletehuw about mashaka ainunue?TIHITIHITIHIIIII!au dr shayo na us bloggers?tihiiiiiiii
ReplyDeletehili ni tatizo la KIPEPO zaidi kuliko akili ya kawaida...
ReplyDeletesiamini ninachoona apa...au michu ili ni changa la macho?huwezi ukawa serious unatangaza ili dubwana apa!!!
aya ngoja
Halafu cha kushangaza ni kwamba kuna mjinga atanunua vile vile...kweli bongo tambararezzzz....!
ReplyDeleteKwa kweli nimezipenda hizo comments. Zina ukweli na humor. Sijawahi kucheka hivi. Wanajamii, you are great!
ReplyDeleteTHE PROPERTY OWNER MUST BE JOKING! THE ONLY GOING CONCERN ON THE PLOT IS THE BIG, BIG HOUSE WHICH AT ANY RATE IS MUCH TOO BIG FOR NORMAL FAMILY USE.THE OTHER BUILDINGS ARE DILAPIDATED AND CANNOT BE OF ANY USE TO A SERIOUS BUYER.ONE CANNOT "BUY" THE IDEAS OF THE ORIGINAL OWNER AND FIT INTO HIS LAND USE OF THE PROPERTY.
ReplyDeleteMY ADVISE TO THE SELLER IS TO CHOP DOWN THE PLOT INTO MANAGABLE PLOT SIZES ON WHICH ONE CAN PUT UP SMALL,I REPEAT, SMALL UNITS THAT ARE CURRENLY GOING AS HOT CAKES!!
Tunaposema Bongo, New York, tunamaanisha hivi.
ReplyDeleteWatu wengine bana wanajenga vibanda vyao kwa kutegemea kuja kuuza bei za baa
ReplyDeleteau ndio wamesikia nchi inapiga hatua za maendeleo basi wao wanategemea wadau kutoka ugaibuni watanunua mjengo kwa fedha kama hizo
sisi wenyewe tulikuwa na kibanda mitaa ya kariakoo tutakiuza milioni 1000, lakini kila mtu anajuwa sababu ya kuuzwa bei mbaya nyumba za mjini ni maeneo ya biashara
sasa huyu kule shamba utafanyia nini kile kijumba kama kuishi tu kwa kweli hailipi
kwa fedha hizo alizotaja mhusika kwa hapa nchini uholanzi unapata nyumba 4 tena nzuri kabisa
huko nduguzetu mfikirie maji yenyewe mpaka uchimbe kisima umeme mwezi kariakoo mwezi ilala mwezi magomeni mwezi kibaha mpaka miezi 4 ifike ndio zamu ya huko kwenye hicho kibanda, KAKA MICHUZI USIPOTEZE NAFASI KUJAZA MIPICHA AMBAYO HAINA MAANA NI BORA HIZO NAFASI UTUWEKEE MIPICHA YA MAENEO ADIMU TUNAYOYAMIS...mdau uholanzi
Hiyo bei haina uhalisia kabisa! Kwa uzoefu wangu wa kusimamia ujenzi, hiyo nyumba na mabanda yake basi havizidi Tshs. milioni 200, sasa ukichanganya na hiyo plot the seller shouldn be asking anything more than 300. Naamin kabisa mmiliki anaelewa hakuna mtu ambae atakuwa tayari kununua hiyo property kwa 750 ndio maana akasisitiza "but negotiable". Watanzania wengi hatujui marketing skills, yani sote tunafanya biashara zetu kimachinga kimachinga, yani unatajiwa bei, then unaishia kuapata na muuzaji hadi anafika kukupunguzia zaidi ya nusu ya bei alikuotajia mwanzo. Na hiyo sio kwenye ununuzi tu bali hata kwenye utowaji wa huduma. Mimi nilikuwa na wakati mgumu sana kupata na mafundi kwenye ujenzi, desturi ni hiyo hiyo unapewa bei ya ajabu halafu fundi anakwambia usiogope ongea tu utatoa ngapi. Yani tunashindwa kuelewa, kuweka bei ya ajabu kutapelekea kuwakimbiza potential buyers wengi tu.
ReplyDeleteSAMAHANI KEYBOARD ERROR" MDAU ALIMAANISHA SH 75,000,000.YAANI SABINI NA TANO MILIONI"lkn bado hata bei hio bado haiendani na hio nyumba is he joking or.....???
ReplyDeleteTanzania ni nchi ya ajabu sana ukipiga mahesabu bei za maji, soda kama nchi za magharibi zilizoendelea. Kupiga simu ghali kuliko kwingine bila sababu. Nyanya, maembe, vitunguu bei sawa na za supermarkets za huko majuu lakini ubora, minyoo humo humo. Nyama ya kuku na nyinginezo usijaribu kujiuliza. Ya bei na muonekano wa hii nyumba ni mjumuisho wa bei za kitanzania wiiizi mtupu!
ReplyDeleteMichu wakati mwingine angalia matangazo ya kuweka kwenye blog bwana.
ReplyDeleteHuyu jamaa anauza nyumba billion kasoro robo? Halafu Makongo? Na waziwazi na huyu jamaa labda hajui hela hiyo ina dhamani gani haswa, hela sio namba tu ila dhamani yake. Hela kama hiyo mtu anawe kuaanzisha biashara kubwa tu ambao italeta kipato zaidi kwa muda mrefu na kuwapatia watu wengine kibao ajira.
Sasa utaende kununue nyumba ya kuishi makongo na mabanda ya kuku na ng'ombe. Una akili!! Eti moja ya attractions zake ni tank au sijui kisima cha maji. tank la maji bei gani kwani. Yaani mtu alipe hela zate hizo kisa tank la maji na mabanda ya kuku.
Kama anataka pesa aende kukopa benki kwa kutumia hiyo complex kama security aone kama atapata hizo pesa.
Ninakubaliana na maoni ya waliotangulia kuwa kwa bei kama hii unapata mansion huko san diego, CA ambapo kuna kila huduma bora. Pia hii inadhihirisha kuwa tunaposikia ufisadi sio mzaha - mafisadi watawashangaa wanaoshangaa hii bei. Hii ni lugha ya kawaida nchini bongo. Si tu suala la hizo milioni,bali pia zinalipwa papo kwa papo. hakuna cha mkopo wa benki wala nini!!! Anachofanya muuzaji ni kwamba anauza kiwanja. kumbuka hapa ni Makongo Juu jirani kabisa na UDSM. Hii ni mali kwa kujenga hosteli za wanafunzi. mtu akiweka hosteli itagombaniwa!!!! sitashangaa kuona kesho ndugu michuzi anatubandikia taarifa kuwa mali imeishanunuliwa!!!!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteHalafu Michu, nyumbani yenyewe imejengwa sehemu ambapo hapajapimwa! Michu, haina hati. Na kama wadau wengine walivyosema, haina sehemu ya kupita. Nyuma ya hiyo nyumba wanakaa makabwela, wengine wezi, wengine samaki (yaani changu....) na wengine ni wapiga debe....yaani alimradi tu.......Walahi, bongo ni akili yako. Hakuna fomula ya kuisihi. Bado tuna safari ndefu. Na huyo wa Ca aliyesema watu wengi hapa ni wabeba mabox, tafadhali usijilinganishe wewe na kustereotype watu wote. Una bahati mbaya sana kwani utaishia huko. Michu mdpgo wangu chukua hoja hii. MH
ReplyDeleteKwa wale msioelewa jinsi bei inavyopangwa mchakato uko hivi:
ReplyDeleteUnaangalia una matatizo na malengo kiasi gani, unapiga hesabu za kiasi cha fedha unachohitaji kuyatimiza na kutangaza kuuza nyumba kwa bei hiyo.
Wakati mnatoa madai yenu kwamba hizo bei ni za ajabu na haziendani na mazingira ya Tanzania, watu wanachukua tu hela za EPA na kununua nyumba hizo. Kalaghabhaho!
kwa taarifa yenu leo naenda kufanya naye biashara!
ReplyDeletepesa nini?
si makaratasi tu.
mnaobeba mabox rudini bongo tambarare.
Jamani hii ni tanzania zaidi uijuavyo!!!
ReplyDeletebei hiyo ni kwa ajili ya mafisadi nyie wengine msipige makelele.Na pesa ya fisadi ndio inayoweza kununua nyumba kama hii
ReplyDeletemnalalamika nini walalahoi bei reaosonable hiyo, kwa mhe Chenge mzee wa vijisenti anaweza tu kuinunua hiyo nyumba na akiba ya 250 mil ikabaki.....mzee vijisenti mtoe mashimoni mdau basi alau akipata mil 750 nae afanane na wewe.....
ReplyDeleteSi halali kununua squatters hizo kwa bei hiyo kama ni 750Mil.Watanzania fungukeni macho msidanganyike na hao matapeli wachache.Huo ni wizi wa mchana...kiasi hicho kwa kununua huo uchafu?? Aibu.
ReplyDeleteKweli watu ughaibu imeingia damuni. Oh kwa bei hio nanunua nyumba UK, mara NY,CA n.k.
ReplyDeleteHabari zenu,
ReplyDeletenyumba kusema ukweli si nzuri hata kidogo,mazingira mabovu sana.
Mimi nimenunua miaka 4 nyumba hapa Ujerumani,haina eneo kubwa kama hilo,lakini ipo sehemu nzuri sana na ni nzuri sana,nikiweka mazingira ya ulaya na kila kitu,haikufikia bei hiyo,nimeinunua kwa euro zisizozidi 300,000(euro laki tatu)
Na hizo pesa si kwamba nimezilipa,ninailipia kidogo kidogo kwa miaka 25,,na kwa sasa nina miaka 30.
Nikifikiria,tu ile nyumba ya Nyerere kule BUtiama,kubwa kama kijiji,ilikuwa na thamani ya milioni 100 za kitanzania,na mkumbuke,imejengwa kwenye mawe,na sehemu ambayo ni ngumu kujengeka na ni ngumu kupatikana kwa malighafi za ujenzi...ingawa ilijengwa bure,kwa maana hakukuwa na gharama za ujenzi,lakini tunaweka gharama za ujenzi milioni 100,unapata milioni 200 jumla,sasa,unaweza ukalinganisha hicho kiota cha ndege na nyumba ya mwalimu....
Huyo,aliyeweka ilo tangazo,naomba alitoe sasa hivi...
na baada ya siku chache ntawatajia ni nani mwenye nyumba,nina rafiki yangu yuko ardhi,nitamuuliza.
Michuzi,weka ujembe wangu.
Wa zeutamu ulipiga chini,
wa miss tanzania alivyoanguka ulipiga chini,na huu ukiupiga chini,sifungui hakyamungu blog yako tena,sababu unaficha ukweli,au hautaki ukweli uonekane.
Muuzaji ametumia falsafa ya Soko Huria.
ReplyDeleteKwa hiyo yuko sahihi kabisa.
Shoneni suti kwa ukubwa wa vitambaa vyenu.
Kama unataka kununua nyumba kwa bei ya shs milioni moja zipo tu, hizi za milioni 750 tuachieni wenyewe.
inji yangu Tanzania....nakupenda kwa moyo woooooooteeeeeee.....naomba gitaa
ReplyDeletewe muuza nyumba unasafari ya kwenda jupiter au mwezini? lol muogope Mungu acha wizi hata masaki sio hivyo kwa hapa canada nyumba nne ssafi utajiju sembuse bongo au kwenye hiyo kompaundi kuna mgodi wa dhahabu?? ebo!!
ReplyDeleteWadau woote mlisema mengi tu,lakini mimi nimepaangalia vizuuli yani nimejikanyagia ndani ya hilo shamba! ni pachafu wala utadhani uko sehemu za kigoma pekuundu yani wala sio sehemu,,,sasa nilichokigundua ni kwamba jamaa anayepauza amekosea kuandika hela alitaka kumaanisha milioni sabini na tano,yani milioni 75shilingi.Tatizo midhupu naye hapendi kukosoa wadau yeye nikubandika tu na kuingiza kwenye kikapu chake tuu baasi.kuna watu weengi wanaitwa matajili lakini hawajaona hata milioni 500shilingi.wadau changamkeni sasa!!
ReplyDeleteI think walikosea bei ni750,000 namaanisha ni laki saba na nusu
ReplyDeleteah ah ah ah ah
NIEMEONGEA NA RAFIKI YANGU AMESEMA HIYO NYUMBA IKO KARIBU NA SOKO LA TANDALE...AH, DU ALISEMA IKO KARIBU NA DAMPO...LA MBAGALA...SAMAHANI
ReplyDeleteMICHUZI UMENIPOTEZEA MUDI.
ReplyDeleteBwana michuzi, mbona unajiaribia heshima yako kuweka matangazo yasio kuwa na maana, maana hiyo bei ya nyumba hata UK unapata nyumba ya maana detached with large garden. Makongo juu hata maji hakuna utanunuaje nyumba kwa bei hiyo. kwa hiyo mimi ninakuomba chagua matangazo ya kuweka, asante
ReplyDelete