leo wadau wa daily news na habari leo watatu kwa mpigo wamesherehekea hepi besdei za kuzaliwa kwao kwa mpigo. keki iliandaliwa na wakati wa mapumziko ya mchana ikaliwa..
kata keki tuleeeeee.... kata keki tuleeeeee
mgaya kingoba akiwalisha keki jane (shoto) na albina - safari hii vijiti ndani!
jane na albina wamlisha kingoba.
mtaalamu wa habari za mahakamani faustine kapama alikuwepo pia
jane na albina wakijipendelea wenyewe
mroki mroki a.k.a faza kidevu ndani
uuurrggghhh!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 18 mpaka sasa

  1. Anko Michu unanifurahisha saana, hizo caption mweeee!!! Hongereni wenye besdei, muendelee kukuwa na mtuletee maendeleo pia.

    ReplyDelete
  2. Uncle nanihii naona jamaa wamekutesa kweli hapo maana imebidi ufunge macho kwa tabu!! pole sana!
    Nawakilasha hoja, Mdau wa Juu

    ReplyDelete
  3. Wala siwaonei donge wala nini,,.. Bila shaka huo haukuwa muda wa kazi jamani.Chonde chende na kodi zetu watanzania.

    ReplyDelete
  4. Salam kwa Mgaya KINGOBA
    -----
    Paskazi -- wa--Bagamoyo Sec--Madaraka Bweni--Kingoba on the Decker...

    Happy Birthday to uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

    Regards!

    ReplyDelete
  5. Hallo Mgaya. Nakutakia furaha na maisha marefu. Happy birthday
    From your bro Mayange

    ReplyDelete
  6. Hongereni wabongo, mpo fasta sana katika kuuzoea upuuzi. keep it up

    ReplyDelete
  7. pole Mashaka umemiss happy birth ya democracia ya tarime i hope ufike kesho haaaaaaaawabongo keep up na upuuziii kwa raha za karaha kasheshe

    ReplyDelete
  8. HAPPY BIRTHDAY 2 MIMI MZEE WA MWISHO WA RELI(NJILI MWAKOBA) AND HAPPY BIRTHDAY TO ALL OF U.NILIJUA NIKO PEKEE NIKO PEKEE YANGU.

    MUNGU WENU AWE MWEMA KWENU.AMENI

    ReplyDelete
  9. midomo mikubwa mpaka raha keki inaingia polepole kabisa freshhhhh

    ReplyDelete
  10. HIZI BESIDEI MIAKA YA HUKO NYUMA HAZIKUWEPO AU NDIO MAENDELEO YANAKUJA KWA KILA UPANDE KWA MAANA MICHUZI KAFANYA BESIDEI NAMIMI NGOJA NIFANYE NA UHAKIKA WENGINE HATA TAREHE ZA KUZALIWA KWAO NI KITENDAWILI ILA WANAJIUNGANISHIA TU KUWA NI BESIDEI LABDA WANAKUMBUKA MWEZI TU SIKU HAWAIJUI HEHE KWELI TUMEENDELEA HAYA HEPI BESIDEI TUYUUUU WAUNGWANA INGAWA NA UHAKIKA NI BESIDEI YENU YA KWANZA KUFANYIKA TOKEA MZALIWE GOD BLESS U ALL!!!!!! MDAU UHOLANZI

    ReplyDelete
  11. na mimi ni leo.....naomba niimbieni(Mzee Wa Mwisho wa reli)...niko mbali ningekuja mara moja...Usafiri.

    ReplyDelete
  12. Hi ""happy birthday ya kuzaliwa""" kwa kweli ya leo kali....Michu mdogo wangu, nakutonya hapa (MH)

    ReplyDelete
  13. TATIZO HAMKUWAHI KUFANYIWA BIRTHDAY MKIWA WATOTO, KWANI HAMJALI MUDA WA KAZI INAONEKANA MKO OFISINI.

    ReplyDelete
  14. Bro Michuzi siku nyingine usikubali ofa za keki zenye masharti ya namna hiyo,kwamba lazima ule zote tatu kwa mpigo. la sivyo utapasuka mdomo. nahisi hapo ulitumia uwezo wa ziada wa kutanua huo mdomo...tehetehetehe...

    Mdau
    Cardiff

    ReplyDelete
  15. Happy Birthday mama mdogo Jane, jamani nimefurahi sana kukuona ni siku nyingi. Mungu akupe maisha marefu. Mwanao, Makingazi-USA

    ReplyDelete
  16. Duuh, Mbona keki wanakulisheni mipande mikubwa hivyo hata mdomo unashindwa kupokea:-)

    Anyway mambo ya wazungu hayo yamepiga hodi Bongoland:-) hahahah

    ReplyDelete
  17. ilikua lunch time bwana ,happy birthday dada jane, dada albina na kaka mgaya nawatakia kila la kheri na mafanikio

    mimi mtoto wa dada jane secretary wa zamani daily news

    ReplyDelete
  18. Wish I was there! Daily News poa!
    Happy Birthday Jane na wengine! Tutaonana hivi karibuni.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...