Home
Unlabelled
JK akabidhi hati za kimila za ardhi kijiji cha Msindo, Wilayani Namtumbo,Mkoani Ruvuma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kwa jambo hili tu, JK umepata KURA yangu ili uongoze nji yetu miezi mingine 60! Mungu akubariki wewe pamoja na mama watoto SalmaJK! Naomba pia uende kule Moshi kijijini ili watu wapate maji, angalau iwapunguzie muda wa kwenda kuyatafuta mbali hivyo.
ReplyDeleteMheshimiwa (sijui kama ulikataa usiitwe mheshimiwa au la, lakini ninaomba nikupe heshima ya ofisi yako), ninakuomba utumbushe tena ile namba yako uliyotoa ile miaka ya "ari mpya" nguvu mpya na kasi mpya" kwani ninakutafutia msemo wa kutumia mwakani! Mabadiliko yanakuja? Hapana, hiyo imeshatumiwa na BHO huko majuu! Ukinipatia tu hiyo namba ya kiselula nitaku"""beep""" halafu, utanipigia halafu nitakupatia mwelekeo wa mwakani!! Ni mimi mwanaCCM damuuuuuuu.
Michu mdogo wangu naomba kuwasilisha hii hoja (MH)
JK, hongera hii ni programme nzuri, pia katika ofisi ninayofanya kazi ni NGO ina support hii programme kwa sehemu tofauti ni kitu kizuri sana, inapunguza unyanyasaji wa wakina mama.
ReplyDeletehongera serikali kwa kuikubali