Home
Unlabelled
kikao cha kamati kuu ya CCM white house dodoma leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Je kwenye hivi vikao vya kamati kuu ya CCM waandishi wahabari wanaruhusiwa kuingia? Je wanachama wengine wa CCM wanapataje kujua mambo yaliojadiliwa na viongozi wao kama hayaandikwi au kurushwa hewani kwenye TV? Au sisi wanachama wengine ni wanachama wa kupiga kura tu lakini hatupaswi kujua yanayoongelewa kwenye chama? kunautata sana kujiita mwana CCM wakati huhusiki hata wala kujua lolote ndani ya chama chako. Tunaishia kupokea amri na vitisho kutoka ngazi za juu za chama. tunataka kuanzia sasa vikao vyote vya chama virushwe hewani kwenye TV na redio.
ReplyDeleteHapa hakuna chengine zaidi ya kupanga mkakati wa namna ya kudhulmu haki ya wananchi ya kuchagua wanaowataka, mkakati ni ccm kushinda kwa hali yoyote, hata kwa kuiba kura ama kutowaandika wanaostahili katika daftari la wapiga kura.
ReplyDeleteccm oyeeeeeeeee
Mwenyezi Mungu awalinde na muendeshe kikao kwa hekima na busara. kila la kheri
ReplyDeletehaya bwana wabongo mkoje white house ya dodoma,makubwa.kwanini msiite hata chawino house,nanyie kwa kuiga,mkiita white house dodoma ndiyo pataonekana pamaana au inakuwaje? jaribuni kutokuwa mnaiga,huku ng,ambo hatujawahi kusikia sehem yao waita chamwino au ccm kirumba,mbona mnakuwa mnajishusha kifikra.marlesa mussa wa 22 hapa.uk
ReplyDeleteufisadi tu hapo hakuna la maana
ReplyDeleteNinaheshinu sana Busara ya Mzee Mwinyi, Mkapa, pia na haoa walio kwenye ulingo sasa Msekwa na Makamba na Mwenyekiti wa Chama chetu, Jakaya Mrisho Kikwete: Lakini Mkijiangalia mnajua wazi kuwa nyinyi karibu ni wapishi wa mwelekeo mmoja. Ingekuwa Busara kwa sasa kumkaribisha kijana mwenye busara, nia ya kujenga Taifa kushiriki kwenye uongozi wa juu wa Chama. Ninawatakia Kikao chema
ReplyDeleteMisupu unaniangusha hiyo ni State house sio White House au ulimi umeteleza ndani ya Kiswangish?
ReplyDeleteili bongo tuendelee lazima CCM ivunjwe, tuanze upya, hapa hakuna demkrasia ila legacy ya nyerere inaendelea tuu, we all know during nyerere tulikuwa sio huru, hii nyumba ya ccm ni ya wananchi sio ya ccm, but nyerere made all stay with ccm ili ujambazi wao uendelee, hapa kwenye kikao hiki kingekuwa cha bunge amabacho wangezungumzia jinsi kwa mfano kuimarisha bandari dar-es-salaam ili tupitize bidhaa za eastern congo,burundi,rwanda,uganda. kenya leo iko vitani, wabongo tungechukua fursa hiyo kuundoa wananchi kwenye ufukara.
ReplyDeleteHapo nikujadili jinsi ya kulinda mafisadi tuu wasikamatwe,
ReplyDeleteCha muhimu wananchi tunatakiwa kuwa macho mwaka ujao, tuchague watakao chenji huo uongozi kama wa Mugabe.Eeh!!
Ufisadi ni sawa na Chukua Chako Mapema (kabla hujaumbuka). Baba yangu alifanya kazi sirikalini (sio serikalini) miaka 30 na upuuzi, aliumbulia baiskeli tu. Na tena alikuwa tarishi kwenye idara yenye kukusanya mapato ya sirikali. Walahi, nasema, Chukua Chako Mapema kwa sababu hakuna atakaekupa!
ReplyDeleteKILA LA KHERI VIKAO VYA KAMATI KUU NA H/MASHAURI KUU TAIFA.
ReplyDeleteMAAZIMIO YENU NI MWELEKEO SAHIHI WA KULIJENGA TAIFA,KUPUNGUZA UMASKINI, KUONDOA DHULUMA KWA WANYONGE NA KUINUA MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA.
MAPINDUZI DAIMA
MAINA ANG'IELA OWINO
CCM UK
SIASA NGUMU BWANA HAPO KILA MTU NA LWAKE MAANA MSEKWA KASEMA YEYE WARAKA WA WA WAKATOLIKI SAFI HAUNA SHIDA MZEE MAKAMBA YEYE HAPANA KWAKE WARAKA UNA WALAKINI LAKINI LEO WAPO MEZA MOJA NA BOSI WAO ...TATIZO LA NCHI MASIKINI VIONGOZI WAKUBWA HASA RAIS ANAPEWA MADARAKA MAKUBWA SANA KARIBU VIONGOZI WOTE SERIKALINI ANACHAUA YEYE MPAKA NGAZI YA WILAYA HAPO NIPO KWENYE TATIOZO.ANGALIA SAMWEL SITAA ANAVYOWAPELEKESHA MAANA YEYE ANAJUA HAKUTEULIWA NA RAIS YEYE AMETEULIWA NA WABUNGE NA RAIS HANA MAMLAKA KIUTENDAJI JUU YAKE .PATAMU HAPO
ReplyDeleteKUPUNGUZA UMASKINI? SI KUONDOA UMASKINI? KWANINI TUNA MALENGO MABOVU YASIYOANGALIA MBELE? KUPUNGUZA UMASKINI HAITOSHI TUNAWATAKA WAUONDOE UMASKINI NA WALA SI VINGINEVYO ILI HATA KAMA HAWATAFIKIA LENGO LAKINI KWA SEHEMU KUBWA WATAKUWA WAMEFANIKIWA.TUTAENDELEA KUDANGANYWA KWENYE KILA IDARA.
ReplyDelete