Home
Unlabelled
Miss universe TZ akiwakilisha vyema Bongo Bahamas
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
You look cute and smart Illuminata you must be a winner,keep it up baby
ReplyDeletembona wenzake wako casual lakini yeye kauramba hivyo? na joto la sasa hivi 110f hiyo nguo mshikaji nzuri sana but wasn't suitable 4 thao occasion
ReplyDeleteJM2C
I agree angevaa kagauni simple cha kitenge kama hoja ni kitenge. Hilo vazi ni too formal litakukoshesha point. Huwa wanaangalia na jinsi gani unaweza kuvaa katika occasional zote. kama hawajakufundisha jaribu kuibia wenzako wanavaa nini ili kidogo upate idea.
ReplyDeleteHawa matrainer wako wapi?! yaani Illuminata ndio kavaa kivyake, hiyo nguo haiendani kabisa na hali ya sasa hivi maana kuna joto sana. Ataonekana hajui kuvaa mavazi yanayoenda na weather, apatiwe msaada wa haraka maana 23/08 sio mbali!! Huto tupaja tunatakiwa tuonekane, a little bit of that chocolate-brown!!
ReplyDeleteMdau wa JUU
Swadakta wadau hamjakosea hoja zenu angevaa kijinguo simple cha kitenge na sio nguo yote hiyo mpaka inafunika makucha haiendani na weather ya huko bahamas joto sana...watoaji mafunzo bado mpo nyuma sana mnatumwaga wadau....kila la heri iluminata mdau uholanzi nawakilisha.
ReplyDelete