ze fulanazzz na anko nanihii wakihojiwa juu mambo ya globu na libeneke na mdau kwizera charugamba ambaye ni mtayarishaji wa kipindi moto cha kila wiki cha 5Connect cha EATV kinachorushwa kila Jumatano saa moja usiku. mpiga picha anaitwa Ombeni Mbwambo. hivyo wadau msikose 5Connect Jumatano ijayo kuanzia saa moja usiku ambapo wana libeneke wa ist afrika mashariki wanahojiwa kuhusu fani hii ya g,obu inayokuja juu sana kila pembe ya dunia

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Tunashukuru kwa kutustua...mimi sikosi kuangalia hayo mahojiano siku ya jumatano! nikitoka job moja kwa moja home, sipitii nanihii.kikishatoka wapostie na jamaa wa mabox wacheki hapahapa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...