Familia ya Bw. George na Bi. Judith Muro wa Dallas TX USA, wanayo huzuni kutangaza kuondokewa kwa mama yao mpenzi, Prisca Mushi, kilichotokea jana August 16, 2009 nyumbani kwao Dallas Texas.
Utaratibu mzima wa mazishi na safari ya kuelekea Tanzania utatolewa baadaye, ila kwa wote watakaoweza, mnakaribishwa nyumbani kwa wafiwakatika anuani hii:
1652 Crown Point Dr
Frisco TX 75034
Kwa maelezo zaidi tafadhali
piga simu kwenye namba hii
940 465 5195.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. poleni sana from shunu mdau houston tx

    ReplyDelete
  2. Jamani poleni sana wafiwa huko Texas na hapa UK sisi tunatoa rambirambi zetu kwa Mwanakombo mdau mwenzetu, pole sana kwa kufiwa na mama yako, Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi.

    ReplyDelete
  3. Poleni wafiwa mungu awajaze nguvu na amani,kipindi ni kigumu kwa kweli,ila kipindi cha raha hamtoi anwani zenu mnaogopa kulogwa na kipindi cha shida mnatoa tuwaelewe vipi basi.
    Mrs.Padmore,The Colony Texas

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...