"BONANZA LA EID" katika kusheherekea sikukuu ya IDI MOSI, FLAVANITE inakualika na kusherekea pamoja kwa stail ya tofauti na ndo maana MAYENU yatatawala yakiporomoshwa na dj MACKAY & dj BONILUV.

Na hii lazima utakumbuka kipindi kileee MUZIKI ulipokuwa MUZIKI si unakumbuka enzi za disco lilipokuwa PINC COCONUT na TAZARA wote watakuwepo kwanini WEWE ukose,utajutaaaaaa...

Mambo yose yatakuwa
IDI MOSI
pale pale pa jana....

MZALENDO PUB

millennium tower
Kijitonyama
Daslamu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. duuuh mambo lazima yatakuwa mswano,lazima tuje maana ni kitambo,kweli historia itajirudia kwa maana yule mtoto mackey ni noma,namsikiliza sana kwenye kipindi chake jumaapili eastafrican radio anaua sana,kama hayupo hivi lakini namkubali sana

    ReplyDelete
  2. MBONA HAMUWEKI NA TAHADHARI YA KUANDAA MAJENEZA KWA AJILI YA TOTO DISCO?

    ReplyDelete
  3. disco pale mzalendo huwa linanoga kweli ukizingatia na hawa ma dj walivyo itakuwa ni full burdani

    ReplyDelete
  4. WEWE ANONYMOS ULIECOMENT HAUJATULIA KWANI UMEAMBIWA HII NI DISCO TOTO?NA KWANI UMEAMBIWA DAR NI TABORA,DAR HAKUNA MAMBO YENU YA HUKO MIKOANI,WAACHE WADAU WABURUDISHA

    ReplyDelete
  5. hii mimi nimeipenda kwa maana kiukweli hatukuwa na sehemu ya kwenda kukumbuka wakati ule wa disco la mayenu,tuko pamoja bonny na mackay

    ReplyDelete
  6. tukubali mackay ni mkali sanaaaaaaaa kwenye bolingo, dogo poteza ile mbaya. me huwa namkubali siku zote toka yupo california dreamer yani penye sifa tusibanie tumpe mstahili. big up bonnylove kwa kumtrain dogo kasimama si kawaida

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...