Soccer and sports fans alike saw some familiar faces in the Team Coast Capital Savings line-up. They included French World Cup and European Championship winner Youri Djorkaeff, Los Angeles Clippers point guard Baron Davis, and top NBA draft pick Hasheem Thabeet of the Memphis Grizzlies. Former Whitecaps players also made up Nash's team. They included current Whitecaps physiotherapist Chris Franks, former Vancouver 86ers captain Rick Celebrini and his brother Randy, and former 'Caps striker Davide Xausa. Current Whitecaps keeper Jay Nolly played in goal for the team in blue.

For source and more

CLICK HERE


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Mambo ya matawi ya juu. Mshkaji anapigana vikumbo tu na kina Youri, bingwa wa kombe la dunia. Safi sana namna hiyo. Sijui alikutana na Nizar na Nadir huko...

    ReplyDelete
  2. haya wadau embu changieni basi kwa swala zima la UKANUMBARING,je Hashimu anatuokoa au nae ni mulemule???lakini mimi naona jamaa hajafanya UKANUMBARING au wale wadau wanaotaka kuongea kingereza cha kwenye kamusi mnasemae hapo?

    ReplyDelete
  3. Acheni hizo!!!!!.
    Lugha yeyote ile hutumika kwa mawasiliano. Mradi tu ni kwamba ile community mnayokuwepo mnaelewana.Hata wazungu wenyewe wana matatizo ya kuongea kiswahili. Wanaozungumza hayo ni wivu tu wa maendeleo ya wenziwao.
    Acheni hizo!!!!!!

    ReplyDelete
  4. HAROUB CANAVARO aliyekuwa Yanga, alicheza hii mechi vilevile!

    ReplyDelete
  5. Tena jamaa akachapa na nyaya saaaaafi! Si unajua kabla ya kikapu mshakaji alijaribu soka ikawa cheche, hivo si mbaya sana! Safi sana Hasheem, unatuwakilisha vyema, Kila la kheri na usiache utamaduni wako ukawa mtumwa!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...