keki ya hepibesdei ya kuzaliwa larryson
larryson (shoto) akimlisha mwenzie keki katika kusherehekea hapa dar
larryson akiwa na wenzie waliokuja kumpa taffu



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. kwani lazima kizungu kwenye keki?

    ReplyDelete
  2. Keki nzuri ila naona lugha gongana hapo kwenye keki! 1years!! kweli kidhungu janga la kitaifa!

    ReplyDelete
  3. 1yr or 1 yrs?wabongo bwana

    ReplyDelete
  4. 1 years sio!!

    ReplyDelete
  5. Mh! Kaaaazi kweli kweli

    ReplyDelete
  6. MAMA LARRYSON MWENYEWE INAELEKEA HATA KILE CHA MZIZINI SHULE YA MSINGI CHA KUOMBEA MAJI HAKUKIJUA VIZURI ANGESHAONDOA HIYO S HAPO KWENYE 1YRS NA KIJIKO KWANI NI ICING SUGAR HIYO ILI KULETA MAANA KAMILI. LARRYSON AKIKUA ATAJUA MAMA YANGU NI BONGE LA BUNJU JAPO ANANIPENDA TEHE TEHE TEHE

    KHERI YA SIKU YA KUZALIWA KWAKO MTOTO LARRYSON

    ReplyDelete
  7. Hongera baby,

    Lakini wabongoo mmmh na majina ya mengine kazi......

    ReplyDelete
  8. Mpishi wa keki na mama wa mtoto inglishi is not reachable, in other words this food is too much pilipili...kazi kweli.
    Mdau

    ReplyDelete
  9. kwi kwi kwi...i love michuzi bloggers

    ati kidhungu janga la taifa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...