Home
Unlabelled
JK atembelea makao makuu ya tume ya nguvu za atomiki a-taun leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
jamani hiyo picha ya pili inaeleza nini? mbona mnamchosha jk na mimaelezo mingi?
ReplyDeletekama watafiti ndio hao yetu macho hakuna ubunifu...kabisa!
ReplyDeletenadhani maelezo yangekuwa simple ambayo hata mkuu wa nchi angeonyesha kufurahia.
pili jinsi ya ku-present.
huwezi weka presentation borad yako huna hata kifaa cha kuonyesha.
kama huna vya madukani kwa nini usitafute hata fimbo....
labda mlikatazwa msiche mkaleta dhahama kwa mkuu....
next time ...muwe wabunifu sio kuweka suti tu
kituko cha mwaka..mkuu wa nchi kaenda simple na vazi la kazi..
ReplyDeleteona mkuu wa kitengo...suti hilo!
utadhani yeyey ndiye director generali wa Taec...au ndio mkuu wa nchi!
wajameni kila vazi na mahala pale..
JK oyeeeeeeeeee!
Na naibu waziri juuu
WA-TZ hata siku moja hawakosi kukosoa. hata kama hakuna sababu ya kufanya hivyo
ReplyDeleteUTAFITI SI MCHEZO, HAPO NI CHA MTOTO KUCHEZA MADANGE
ReplyDeleteukiangalia kwa makini kwenye picha kuanzia naibu waziri na Rais, walivyo serious, ndio unatambua Presentation yako umetoa maelezo mengi sana kuhusu kifaa hicho kimoja ulichoshikilia mpaka wameboreka.
ReplyDeleteMBONA HATA HAWAANGALII?
ReplyDeleteNI KWELI HAKUNA UBUNIFU, UVUMBUZI WA LA UGUNDUZI. UKIONA MTAZANAIA ANAENDA KUONGEZA ELIMU NDANI AU NJE YA NCHI SABABU KUU NI KUPATA NYONGEZA YA MSHAARA NA SIO UFANISI WA KAZI. MUDA AMBAO MTANZANIA ANAKUWA NA BIDII ZOTE NUI WAKATI WA SHULE TUU. IKIISHA BASI ATAKUWA OFISINI ANAFANYA KAZI ILE ILE KILA SIKU KWA MIAKA 30 BAADAYE ANASTAAFU. UKIMUULIZA ANAKWAMBIA SIRIKALI HAIJALI HILI NA LILE KUMBE HAJUI KWAMBA NA YEYE NI SEREKALI. TUMECHOKA UMEME WA MAJI HUU NI WAKATI WA KUWA NA UMEME WA NUCLEA SASA. ELIAS MAHEGERE ENDELEZA HII MAADA
ReplyDeletekama wewe ni teacher au mwalimu ukiona wanafunzi wako wa shule au madrasa wamekunja nyuso wakati unafundisha unafanyaje- KWA VILE WAMEBOREKA NA SOMO LAKO LISILO NA TIJA au hueleweki au sio mbunifu wa jinsi ya kutoa material?
ReplyDeletemimi huwa nawaambia waimbe ule mwimbo mzuri.....
SASA SASA*2
SAA YA KWENDA NYUMBANI!
KWA HERI MWALIMU *2
TUTAONAN !
KESHOOOOOOOOOOOO
Inasikitisha Tanzania tuna nyanja nyingi za kuzalisha umeme but still eti tunaambiwa umeme wa mgao tanesco kazi kutishia umeme utazimwa tanzania nzima wakati wanatakiwa kuwa innovative na kuangalia nyanja nyengine za umeme. It is the shame tuna maji (Mto Ruvuma na Rufiji, makaa ya mawe, uranium na jua la kutosha, na maeneo mengi ya kuweka shamba la upepo lakini unasikia eti umeme wa mgao. Ikiwa viongozi wetu wanajali watanzania wangeliwekeza katika tukazalisha kwaajili yetu na kuuza nje ya nchi. Uuuzaji wa umeme tu nje ni pato kubwa kwa nchi linaloweza kupunguza utegemezi wa misaada by 10%-20%. Kutuonyesha kama tuna reserve hakusaidii kitu kama madini yenyewe hayana tija kwa mzawa. Tumekuwa na almasi muda mrefu, dhahabu, Tanzanite lakini mtanzania wa kawaida hajafaidi hata thumni. Hili la umeme mtusaidie basi tuwe na umeme angalau na wa bei rahisi ili nasi tuseme tumefaidika na madini
ReplyDeleteKALAGABAO
ReplyDeleteTEH TEH TEHE HE HE HEE HEE
ANON 6:07 UNINIKUMBUSA ,BALI SANA MAMBO YA KWAHERI MWALIMU ASANTE MWALIMU, SIASA ZA UBAGUZI WA RANGI NI UNYAMA SHIKAMOO MWALIMU.
ReplyDelete