Naomba msaada kwenye Tuta, nawatafuta washirika wangu tulikuwa nao JKT 1990 kule Mlale Songea . Operation Program ya Chama.
Nawatafuta Renacy Kaligonza Mukaja, Esther wa Tanga , Kassim Sarumbo,Dorothy Mgandila na Frida bila kuwasahau maafande wa Kombania A + B. na Quarter master afande Shaib.
kama kuna ndugu yeyote mwenye namba za hawa ndugu naomba anisaidie tafadhali. Mara ya mwisho niliambiwa kuwa Renacy Mukaja alikuwa anafanya kazi pale Kisutu Nyara za Taifa, natafuta mawasiliano nae mimi niko nafanya kazi Mwanza na AMREF mwenye contact za ndugu hawa aniandikie e mail flymushi@yahoo.com Flora M
mwadila mwangaruka baibu
ReplyDeletepole sana ndugu yangu wote wako mbele ya haki!!!!bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe...
ReplyDeletewote wamekufa! bakti mbaya! just kidding! good luck getting them!
ReplyDeleteanon 08:39 umenichekesha sana, hadi machozi, yaani sijawahi cheka namna hii siku nyingi sana.
ReplyDeleteAsante sana, duh! (but i hope you are just kidding!)
mdau- amsterdam!
kweli humu ndani kuna watu wamenyongorota !!!
ReplyDeleteNakumbuka kama nilicomenti jambo zuri hapa kuhusu maswala ya JKT, lakini sijaiona oh, ok, no problem
ReplyDelete