namba 1, 2, 3, 4, 5
namba 6, 7, 8, 9, 10
namba 11, 12, 13, 14, 15
namba 16, 17, 18, 19, 20
namba 21, 22, 23, 24, 25
namba 26, 27, 28, 29, 30
Hapa ni Giraffe Motel Kunduchi beach Dar ambapo warembo 30 wataoshiriki fainali za Vodacom Miss TZ 2009 wamepiga kambi rasmi kuanzia jana. Libeneke mahususi na maalum kwa shughuli za siku hadi siku linaadaliwa ikiwa ni pamoja na kupiga kura ya kumchagua Miss Photogenic. Hivyo kaa mkao wa kula na kwa sasa wajue kwa namba zao tu baadae utapata kila kitu

MAJINA YA WAREMBO WALIOINGIA
KAMBI YA VODACOM MISS TZ NA NAMBA ZAO

1.Glory Chuwa-Tanga
2.Sylvia Shally-Ilala
3.Miriam Gerald-Mwanza
4.Jaqueline Nitwa-Dodoma
5.Shanny Anthony-Temeke
6.Wagala Shungu Ivony Bigirwa-Kinondoni
7.Juliet William-Ilala
8.Sabina Budodi-Mara
9.Stella Chidodod- Singida
10.Ester Gao-Vyuo Vikuu
11.Sandra Malebeka- Kinondoni
12.Stella Solomon-Temeke
13.Mary Lucas –Nyanda za Juu Kusini
14.Suzan Emmanuel-Arusha
15.Aloycia Innocent-Kinondoni
16.Gladdies Shao-Ilala
17.Precious Donald-Pwani
18.Maria Daniel-Arusha
19.Gloria Mayowa-Lindi
20.Beatrice Lukindo-Vyuo Vikuu
21. Evelyn Lujamasa-Ilala
22.Witness Nesphory-Nyanda za Juu Kusini
23.Glory Willian-Ilala
24.Catherine Letara-Nyanda za Juu Kusini
25.Torry Oscar-Morogoro
26.Mary Joseph -Mara




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 27 mpaka sasa

  1. namba 26 mbona tumbo kubwa hivyo mdogo wangu, umiss na tumbo hilo mbona balaa jamani!!!! mmhhhhh haya yetu macho!!!!!

    ReplyDelete
  2. Mzee Wa Zeze, Columbus, OhioSeptember 08, 2009

    Mipini namba 9, 10,21 na 23 inafaa kutuwakilisha huko mbele ya safari bila kipingamizi, nawaaminia ingawa sijui hicho kiinglish cha kikoje.

    ReplyDelete
  3. Kweli mwaka huu tutapata mrembo haswa,kwani wote ni wazuri au lugha ya mjini Bomba.

    ReplyDelete
  4. Jamani..wako wapi wasichana warembo wa TZ ! Manake sijaona mie hapo, au picha?

    ReplyDelete
  5. haya sasa anko Lundenga ushimndwe mwenyewe kuchukua totoz. warembo hao wamejileta wenyewe. Lundenga ni kama Mswati wa Bongo , kila mwaka anakamata new totoz...

    ReplyDelete
  6. namba kumi na tisa 19 gladies john shao ..ni mzuri wa umbo na sura na akili huyu mtoto atashinda miss tanzania na imani na hayo kwa kweli.. wasichana wazuri pia lakini yule mtoto miss ilala namba 2 hapanaa ni balaaa go gladies...

    ReplyDelete
  7. namba 19 yuko juu

    ReplyDelete
  8. gladies is the best 19

    ReplyDelete
  9. gladies yule mtoto ni mjanja sana atafanya vizuri

    ReplyDelete
  10. Lundengaaaa! Kazi kwako zee la kazi.

    ReplyDelete
  11. Afadhali hakuna hata ustaadhat hata mmoja, nilitaka nishangae na mfungo wote huu?

    ReplyDelete
  12. Poti naona watu wa Musoma tumeamua kupeleka demu Mkurya mwenye kitambi!!!! Poti nakwambia wee acha tu............

    ReplyDelete
  13. warembo hayo! yaani wadume wako fit mwaka huu, nona number 5, 14 watafanya vizuri, GK changamkia tenda hapo kama kawaida yako kijanamwangu frommTBL

    ReplyDelete
  14. 12, 14, 21 hao wamepita

    ReplyDelete
  15. Namba 4 na 5 wote wazuriii

    ReplyDelete
  16. Mbona hamna majina ya number 27,28,29, na 30? an ndio njama zenyewe?

    ReplyDelete
  17. ilala (#2) sura anayao lakini tako limekuwa kubwa!! mkimpa huyo tumeshindwa vibaya!! labda huyo mtoto wa tanga hapo #1

    Mdau wa Juu

    ReplyDelete
  18. jamani huu ushabiki sio mzuri munakariri mpaka humu ndani jamani nimeangalia mara sana huyo mrembo wa 19 anasifiwa kweli hila naona ni mrembo kutoka lindi sasa yaani waosha vinywa munashida sana kazi ya kuongea tu ilimladi anko awajue kuwa munajua kuongea kwa kweli hapa mi naona mna kitu kabisa wengi wako wa bandia sio kitanzania zaidi hayo tu naomba anko usinibanie

    ReplyDelete
  19. numba 4 and 23 wako fit, warefu hawana vitumbo pia wazuri wa natural!du wadada wazuri sana mpaka nasikia kizunguzungu! TBL naombeni kazi ya umaneja basi wajameni!

    ReplyDelete
  20. Mshindi hapo atatoka kati ya 3,4 na 5. Huyo 19 hata kwenye kumi bora haiingii. Mark my words.

    ReplyDelete
  21. mimi najua namba tatu ndio atashinda maana sifa zote anazo labda lugha imsipande.

    ReplyDelete
  22. Wote wazuri lakini msijipake poda inawafanya mpauke na kuonekana vinyago
    Natural beauty mnayo lakini vipodozi njaa kali
    poleni!!!

    ReplyDelete
  23. Mwakilishi kutoka ZANZIBAR mbona haonekani!!!!
    Au Visiwani huko hakuna warembo?

    ReplyDelete
  24. Dah jamani mbona 19 mbovu hivyo....????Au wazee mnashindwa kuangalia totoz nzuri...

    ReplyDelete
  25. ---oya michuzi ebu kaa uangalie kwa makini kuanzia namba 26 mpk 30 vichwa na miili yao haviendani vizuri esp namba 27 au ndio mambo ya photoshop acheni kutuibia alaaa

    ReplyDelete
  26. no 26 kitambi na umiss wapi na wapi jamani

    ReplyDelete
  27. Tukiondoa mbilikimo na wenye vitambi wanabaki namba 24,23,17,18,15 na 5

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...