Mwanamuziki bingwa wa MTV Africa Music Awards Dapo Daniel Oyebanjo a.k.a D' Banj kutoka Nigeria (wa pili kulia) akiwa na wanamuziki wengine kutoka nchini Kenya toka shoto Nameless, anayefuatia ni Nonini, katikati ni Dr. Sid kutoka Mo Hits Records ya Nigeria na mwisho kulia ni Ikechukwau Rapa aliyeongozana na Di Banji. wasanii hawa leo watakamua kwenye viwanja vya tanganyika packers jijini dar katika onesho lililoandaliwa na straight music
Habari za D'Banj
Habari za Nonini
Habari za Nameless

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Ingia hapa Michuzi uwape hii habari wana blogu ya jamii http://andrewyoungpresents.blogspot.com/2009/09/tanzania-stories-of-life.html

    ReplyDelete
  2. Nimefurahishwa na kilichoandikwa kwenye T-Shirt ya Nonini, sijui ni kampeni au ni utashi tu, lakini nadhani wasanii na watanzania kwa ujumla tunatakiwa kufanya kampeni kama hii kwa shilingi yetu ambayo inaelekea kufunikwa na dollar katika biashara za humu ndani, kitu ambacho si sahihi!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...