TANGAZO TANGAZO
NATAFUTA MKALIMANI WA KUTAFSIRI KUTOKA KIPOLAND KWEDA KISWAHILI NA AWE ANAJUA KINGEREZA.
KWA MAELEZO ZAIDI TUMA EMAIL KUPITIA,
nganzo88@yahoo.no
SIMU
+4747262181.
NATAFUTA MKALIMANI WA KUTAFSIRI KUTOKA KIPOLAND KWEDA KISWAHILI NA AWE ANAJUA KINGEREZA.
KWA MAELEZO ZAIDI TUMA EMAIL KUPITIA,
nganzo88@yahoo.no
SIMU
+4747262181.
Wako
JB PROMOTIONS&JB HIPHOP WEAR-
JB PROMOTIONS&JB HIPHOP WEAR-
sasa tangazo mbona halivutii!
ReplyDeleteyaana invitation to treat haipo kabisa.
we unatafuta tu mkalimani hata huonyeshi faida atakazo zipata. ni kazi ya mda gani au wapi ingesaidia ziaidi kumfanya mtu avutiwe na tangazo. hapa hata kama nini mtu ataniuliza maswali mengi sana hasa inapokuwa hawezi kupata nafasi ya kusoma hili tangazo.
marketing jamani!
Tumia Google translate from Polish to English then from English to Swahili
ReplyDeletekipoland?kipolish ndugu
ReplyDeletemimi sijamuulewa huyu boss,anatafuta tuuu mtu wakumtafiria atamlipa au ni kazi ya kanisa tuu,kama kuna malipo sawa mimi naweza hiyo kazi,naongea lugha saba chagua utakazotaka kutafsiriwa,kirasha kipoland chingereza,kimanyema,kifaransa kinoshki na kibondei,kazi kwako
ReplyDeletekipolish nayo si sahihi,ni sawa na kusema ki english.Nafikiri ni Kipolo
ReplyDeleteYupo jamaa yangu na kama kazi inamaslahi anaweza kuifanya tuwasiliane kwa maelezo zaidi piga Marie Stopes Tanzania
ReplyDeleteMKUU
ReplyDeleteHUYO MKALIMANI UNAMTAFUTA WAPI?
UNAMUHITAJI KWA SHUGHULI YA MARA MOJA AU MUDA MREFU; TAREHE N.K
FAFANUA KIDOGO, NINGEPENDA KUKUSAIDIA.
kipolish....alaaaa
ReplyDeletepesa jee?
wasiliana na mkamap@yahoo.com au wasiliana na mwenyekiti wa ccm Islington -London ni mtalaam wa lugha zote hizo.
ReplyDeleteMmh!!, mbona ananichanganya!!!. suala la kuandika hicho kilugha siyo issue, iwe kipolish, kipoland au kipolo nimeelewa. Tatizo langu ni awe anajua Kiingereza. Hapa ndugu yangu ni Kipoland kwenda Kiswahili, kama sikosei Kiingereza cha nini!. Kama unataka na Kiingereza ungeeleza wazi tu. Hata hivyo asilimia kubwa ya wanaotafsiri Kipoland chako kwenda Kiswahili watakuwa wanafahamu na Kiingereza. Uwe makini. USHAURI.
ReplyDelete