Mdau Knashipai Kiria Lupoo baada ya kula nondozzz ya Health of Oganization and Community Halth katika Chuo kikuu cha Concordia University huko Moorhead, Minnesota. Familia yake inampongeza na kumtakia mipango mema ya kuendelea na PH mwaka ujao katika chuo kimoja kilichopo huko Seatlle. Aksante brother na nakutakia kheri ya mwaka mpya songa mzee tupo pamoja ingawa tupo dunia ya kwanza huku but are always proud with our country. Mungu ibariki tanzania. Picha na habari kwa hisani ya mdau Ebra wa New York City.
Mdau Knashipai Kiria Lupoo baada ya kula nondozzz ya Health of Oganization and Community Halth katika Chuo kikuu cha Concordia University huko Moorhead, Minnesota. Familia yake inampongeza na kumtakia mipango mema ya kuendelea na PH mwaka ujao katika chuo kimoja kilichopo huko Seatlle. Aksante brother na nakutakia kheri ya mwaka mpya songa mzee tupo pamoja ingawa tupo dunia ya kwanza huku but are always proud with our country. Mungu ibariki tanzania. Picha na habari kwa hisani ya mdau Ebra wa New York City.

hongera mdadaa uzi huo huo kula nondo maisha baadaye ndo kitaeleweka hongera sana
ReplyDeletejina la kihindi au la kiswahili, kazi kweli kulitamka, hongera kwa kufanikiwa katika masomo.
ReplyDeletecommunity halth na kuendelea na PH....mmmhh hii habari imeandikwa na somebody .....not richabo..!!
ReplyDeleteJamani kwanza kabisa mdada hongera kwa kufanikiwa, nakuombea Mungu uendeleze libeneke. Sasa wewe uliye tuma haka ka ujumbe umeshindwa ata kucheki spellings zako jamani. Umeharibu jina, labda mimi ndo sijui ila it is Nashipai Lepoo, wewe sijui umeandika kitu gani. Seattle yenyewe ulivyo andika mh. Sijui Health of Organization and Community health, Haya bwana. Hongera mwanadada na ukianza shule yako nyingine soma kwa bidiii.
ReplyDeleteBrother michuzi yaani hata kuedit hii post umeshindwa typo kibao jamani hapo ameandika community halth na kuendelea na Ph??? alimeant community health and PHD..haya hongera dada hivyo hivyo!!
ReplyDeleteduh it's all I can say!!
ReplyDeletedada m nko UK nimeshakula nondozz unaonaje tukitengeneza familia pamoja unaonekana mtulivu kwa sura.Imani yangu iko kwel kwako cjui kwann?
ReplyDelete