Juu na chini ni gari aina ya fuso iliyokua inatokea Arusha kuelekea moshi ikiwa imeangushwa na mafuriko yaliyokuwa yamekatiza barabarani kutokana na mvua kubwa zilizokuwa zinanyesha mkoani Kilimanjaro fuso hiyo ilianguka katika mbele kidogo ya kijiji cha kwa Sadala wilayani Hai mkoani kilimanjaro. Mafuriko hayo yalizuia magari kupita kwa muda wa lisaa na nusu.(picha na Woinde Shizza)
Fuso likiwa limelala ubavu
maji yaendayo kasi yakikatisha barabara



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Ankal MeChoodhe,
    umesema mdau aliyeleta hizi picha jina lake.... teh teh teh, natumai "Alienda Fika salama" kabisa.

    Woinde Shizza na Uende Shika na Ende Shika na Nde Shika naona yanashabihiana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...