Mdau Zablon Mgonja ambaye ni mwalimu wa Kiswahili akiwa na madenti wake huko Madison, Wisconsin. Hawa wote wanakuja Bongo kuedelea kusoma Kiswahili na kushiriki katika miradi mbalimbali ya jamii. Mdau pia anakuja rasmi January 8 kuwaandalia utaratibuMdau Zablon anamshukuru Mungu kwa hilo shavu.
Unaweza kuiona video yenyewe hapa
http://media.nflc.org/NCOLCTL-IC.mp4
Unaweza kuiona video yenyewe hapa
http://media.nflc.org/NCOLCTL-IC.mp4


Mdau (mfundisha Kiswahili) kazi nzuri endeleza "libeneke", muulize Michuzi tafsiri ya "libeneke" endapo wanfunzi wako watakuuliza nini maana ya neno hilo
ReplyDeleteSafi sana kaka naona kazi nzuri sana. nimeangalia video yote... hongera sana
ReplyDeleteAsante sana mdau mfundisha Kiswahili. Unaendeleza utamaduni wetu na kulitangaza vyema taifa letu la Tanzania. Mungu akubariki!
ReplyDeleteHaya tena kila mtu na namna yake ya kuzamia;kuna anayefunga ndoa na mzungu azamie Ulaya na kuna anayejifunza Kiswahili azamie Bongo!!Kazi...!
ReplyDeletesawa kabisa fundisha wazungu wote kimatumbi hadi obama tunataka dunia nzima ijue kimatumbi
ReplyDeletesafi sana fundisha wazungu wote kimatumbi hadi obama tunataka dunia nzima ijue kimatumbi
ReplyDeleteHongera,
ReplyDeleteLakini kufundisha Kiswahili kwa Kiswahili sio utaalamu peke yake bali ni motivation ya wanafunzi. Yaani wanafunzi kukitaka hicho Kiswahili.Hapo ulipo Madison kuna Chuo kinakipa nguvu Kiswahili. Lakini ungekuwa unafundisha katika vyuo ambavyo havikipi Kiswahili nguvu basi ungegonga mwamba.Wanafunzi wangekimbia mmoja mmoja.
Lakini kufundisha Kiswahili kwa Kiswahili sio uchawi. Mimi nakumbuka nilisoma Kispanish na mwalimu alikuwa anatoka Cuba na hakuwa anajua Kiingereza. Na ilikuwa poa sana. Hakuwa akitumia teknolojia yoyote isipokuwa kitabu chake tu. Lakini wanafunzi wote walikuwa wanataka hiyo lugha.
Huyu mwalimu apewe sifa tele! Ni matumaini yangu Baraza la Kiswahili Tanzania litamsaidia mwalimu huyu kwa mawazo, silabasi na pia vitendea kazi kama vitabu nakadhalika ili mtaalamu huyu aendeleze "libeneke" hapa Marekani.
ReplyDeleteWazungu hawa wasiishie hapa, wasome riwaya, wajue tungo, wajue ngeli zote n.k. Ni hayo tu kwa leo.
ww ndio mwanaume kweli hii ndio kazi decent majuu,sio mtu ana degree Dr anauza wadoli dukani,kuchamba vizee
ReplyDeletekuna kazi za maana waweza fanya na ukaishi kwa raha tu,sema wabongo wengi wavivu sana kujishughulisha na kazi za maana km ualimu na unesi
Hongera Zablon, Mungu akujalie ufanikiwe zaidi. Nadhani hii inafaa hata kutumika hapa kwetu kwenye kufundishia kiingereza...
ReplyDeleteStorge!