Kaimu Mhariri Mtendaji wa Tanzania Standard Media Newspapers Ltd, Bw. Mkumbwa Ally, akiongea na wafanyakazi wa kampuni hiyo ambayo huchapisha magazeti ya serikali ya Daily News na HabariLeo wakati wa mnuso wa kusherehekea mwaka mpya ulioandaliwa Ijumaa usiku katika hoteli ya New Africa jijini Dar
wadau wa TSN wakisikiliza hotuba kwa makini
Mtu mzima Deo Mushi (kulia) akichati na Mdau Furaha ambaye ni mwakilishi wa biashara wa TSN kanda ya A-TAun
wadau wa TSN wakijichana
Shafii Mpenda (kati) na makamanda wenzie
wawakilishi wa TSN toka kanda zote nchini wakitambulishwa
gwiji la habari aa mahakamani Faustine Kapama (pili kulia) akiwa na mhariri wa michezo Nas Kiliyinga (pili shoto) na wapiganaji wenzao
wataalamu wa teknohama wa TSN wakila raha
masembe tambwe anajinyoosha baada ya msosi wa nguvu na wenzie
Maafisa waandamizi wakiwa mezani pao.
mhariri wa habari wa HabariLeo Mgaya Kingoba na wapiganaji wake
wadau wa TSN wakiendelea kujichana
kila mtu alikuja kapendeza
wataalamu wa usanifu kurasa na wenzao
wazee wa kazi wa uwakala wa matangazo wakijipendelea
"...ah, mi n'shachoka kula anasema bibie nanihii wakati
zena chande akikata mbuga kama hana akili nzuri
ze fulanazzz huwa haichezi mbali kwenye mnuso kama huu..
masaladi time...
libeneke mpaka lyamba...
Deo Mwanambilimbi (shoto) akiongoza The Great Kalunde band kutumbuiza














































Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. MUZUMBE ALUMNI, MOLOGOLOJanuary 31, 2010

    WACHOYO MARA NYINGI UTAWAJUAGA, SAANI ZAO ZIMEJAAGA SANA, AU KUNA VISAANI VILIVYOKISHWA KANDO YAO MBILI AU TATU. ALAFU MUREMBO IKUNDA ERIKI MBONA SIMUONI,,PARTY YA KIFISADI ITAKUWA, KAMA KWELI HAKUWEPO. HILO MEZA LA WAANDAMIZI NI LA WANAMUZUMBE, KWA MAANA HAO NI WATU MAKINI KAMA ANKO NANIII AMAYE NDIYE GRAJUETI WA MUZUMBE NAMBA MOJA... HONGERENI WANA MUZUMBE NA TSN

    ReplyDelete
  2. Duuh ze fulanaz naona imetia timu kwa mara ya kwanza 2010.

    ReplyDelete
  3. Fulanaz kama kawa ninaona imetinga tena kwenye minuso mikubwa! khaaaa!
    Nitaongea na Jr. lazima tuitoke hiyo fulanaz na tuipeleke kwenye jumba la makumbusho!

    ReplyDelete
  4. MICHUZI NA WADAU WENGINE MNASHEREKEA MWAKA MPYA UPI HUO? MBONA ULISHAKWISHA SIKU NYINGI HADI LEO?

    ReplyDelete
  5. TAIFA LINAWATEGEMEA HONGERA KWA UWEZO WENU WA KUWAHASBARISHA WNANCHI BILA KUJALI HABARI M WIBA KWA SIRIKALI

    ReplyDelete
  6. Hakika ze flanazz hakosagi kwenye minuso mikubwa kama hii. Lakini ankal...flanazz lazima nijitose siku moja niibe...imepauka sana kha!!

    ReplyDelete
  7. haya mengine sasa!!!
    nilipoondoka bongo miaka 11 tu iliyopita, hafla kama hizi wenzetu kinadada na kinamama walikuwa wakihudhuria wakiwa na nguo zao kamili, hasa wale kutoka mashirika makubwa kama TSN.
    sasa hivi kulikoni? Mbona dada na mama zetu wengi wako nusu uchi? au ndio twaitangazia dunia kuwa na sisi wabongo tushaendelea?
    halafu ati huko nyumbani kuna mashirika ya kutetea kinadada wanaodhalilishwa kijinsia!!
    hivi kina dada zetu hamwoni hii kujidai kwenda na wakati inakudhalilisheni?
    hamfahamu kuwa hilo ni moja ya majanga ya Taifa?
    kwa mfano nyie TSN, si nyie mnaotupa ripoti kila siku kuwa takwimu za gonjwa la ukimwi ni za kutisha sana huko nyumbani?
    nani asiyeamini kuwa kwenda uchi ni moja ya kichocheo cha uasherati?
    ni wapi duniani ambako wanamama wanajishaua kwenda utupu kama hivyo ambako uasherati haujaenea?
    hapa Ukerewe, kila kona ngono zembe imepiga hodi! ndani ya public toilets, ndani ya kumbi za starehe, mashuleni, wakati mwengine mpaka ndani ya mabasi ya double decker yameshawahi kutokea. ngono nje nje!
    amerka, cuba, brazili na ulaya ingine mambo ni hivo hivo, ngono imetawala kupita kiasi, miongoni mwa sababu zikiwa kinadada kujirahisisha mno na kuvaa mavazi ya kutamanisha!
    picha za mheshimiwa mkuu wa wilaya zimejaa kinamama sehemu kubwa ya matiti (ashakum si matusi) yakiwa nje!
    kinadada chonde, chonde, achaneni na tamaa za kimwili, mnaendelea kusambaza maradhi na kukiharibu kizazi kijacho.
    Michuzi nawe uwe ukikemea basi!
    Mndengereko Ukerewe

    ReplyDelete
  8. We unaejifanya Mndengereko huna lolote huna cha kuandika nyamaza sasa aliyevaa uchi nani hapo unapenda kuchangia vitu mbofumbofu hebu tafuta sehemu upumzike hapo maradhi yako wapi acha hizo sijakupenda watu wapo kwenye sherehe wache washereheke wewe oooh hivi vile vikapanda vikashuka toka zako huko unajifanya ukerewe ukerewe ndio nini tumeona usariva ije kuwa ukewere nenda angaza ukaombe kazi ya kuhamasisha

    ReplyDelete
  9. weweeee..annon mkware unaetsema eti nyuchi za kinadada tamaa zimekujaa tu apo adi kopeni,,,ata wakivaa baibui ndo magonjwa yatakimbia?ovyo sana wewe hujui behavioral change eee!!
    ebu tutolee ushashi wako apa

    kwa raha zao kinadada na fulanazz ya ankal niliimis saaaaaaaaaaaaana

    ReplyDelete
  10. Duuh , naona wadau mwala raha tu ..mi nawatakia kila kheri ndugu zangu na changamoto hizi za soko la ushindani...tunawategemea muendeleze kupeperusha bendera ya TSN ili basi wananchi tupate habari mbalimbali na matekelezo ya sera na mikakati ya serikali yetu tukufu....

    Ila Kolinzeee na MSUYA mjue hata mkishinda magoli mangapi mwaka huu ni wetu tu CHELSEA FC..mzee wa kanisa analijua hili..

    Ni mimi MALIAGA aka kiroba wa Bagamoyo karibu na uncle J.K..

    ReplyDelete
  11. Picha ya pili toka juu kuna mdau kafanana sana na mshikaji wangu toka Lake secondary A-level(MIKIDADI KAGAMBO)!kama ni wewe safi sana mzee naona umetulia....
    tuwasiliane basi
    Dr. Balilemwa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...