Home
Unlabelled
ops! Kiatu chamvuka Mama Clinton Ikulu ya Paris
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sorry picha ya chini sio yenyewe, hata mwenye uwezo mdogo wa kutofautisha vitu angeona, ANGALIA NYWELE za hao watu wawili, tofautisha nywele za mama Clinton kwenye picha za mwanzo na picha nyingine.
ReplyDeletewacha uongo wewe!Clinton nywele zake ni fupi kama inavyoonekana kwenye hizo picha mbili za mwanzo...picha ya chini nywele ni refu na nikijana.
ReplyDeleteHuyo SIO Mama Clinton (Mrs. Hillary Clinton) kwani ukiangalia nywele zake huyo dada na za Mama Clinton ni TOFAUTI kabisa HALAFU pia Mama Clinton hawezi kuwa yuko peke yake bila mlinzi !!!
ReplyDeleteJamani wadau hivi ni kweli picha ya mwisho ni mama clinton akivua samaki na ndowano au?
ReplyDeleteKwani mtuma taharifa amesema huyo anayevua samaki ni mama Clinton? Ameandiak kwamba jioni alienda kuvua samaki, kwa hiyo si lazima kwamba huyo anayevua samaki ni yeye.
ReplyDeleteIt's obvious it is not Mrs Clinton, the picture was just posted as part of the sender's sick sense of humour.
ReplyDeleteMichuzi umevamiwa
That aint Hillary.Na samaki huwa hawavuliwi beach.
ReplyDeleteNimewapenda hao MABAWABU wawili hata kama Mama Clinton angeanguka wasingetikisika....
ReplyDeleteHII ni picha ya kutengeneza angalieni shingo ilivopinda kama ya pundamilia Ijapokua kichwa ni cha mama clinton,kuh nywele si lazima iwe siku hiyo hiyo.Na ufaransa kuua samamki kwa kujifurahisha ndio kama mila yao.
ReplyDeleteAwe Mama Clinton au asiwe, huyo mwanamke aisee ana figure safi mno. Very sexy yaani Mzee Clinton anafaidi. Yaani I cant help it but associate the woman with Hillary. Of course wakati alipokuwa bado kijana. Du!!Jamani mm mm
ReplyDeleteacha kutuletea masihara hapa beach gani kaenda france wakati watu tunapigiga na baridi ,nina amshaka sana kama mtoa habari hii anaishi europe beach zote zimeganda wewe unatuletea uzishi
ReplyDeleteKibaridi cha Paris huwezi kwenda kuvua samaki. Jaribu tena
ReplyDeleteHuyo ni Chelsea Clinton, siyo Hillary Clinto..huyu ni mtoto wake. Yupo fishing...
ReplyDeletesick sense of humour......hhahahahahaaaaa!!!!ni kweli haijachekesha hata kidogo
ReplyDeletekiatu kumvuka mtu si hoja. inategemea na designer. unaweza designer huyu unavaa size 8, mwingine 7.5, mwingine non of them fits....anyways
ReplyDeleteYa mwisho si mama clinton, Lakini kwa upande wa Pajazzzz tu inalipa kwa kweli. Duh siku hizi kaka hunilazi njaa!!! senkiyuuuu
ReplyDeleteMdau wa Pajazzzz+titizzzz
watanzania tunashindwa kutambua sarcasm!. picha ya mwisho sio Clinton Mrs. Imewekwa ku-changamsha soko tuu!, naona kweli soko limechangamka!.
ReplyDeleteB.
Wabongo kweli kiboko, yaani mmeshindwa kuona habari nzima hapo iko wapi mnakaa kubishana, kweli ndio maana nchi yetu maskini.
ReplyDeletePicha ya mwisho haijasema huyo ni nani. Acheni kuwanga, huyo ni mke wangu.
ReplyDeleteEvery time Michuzi uploads this kind of posts, i get a joke straight away...lakini najua ukifungua tu comments kutakua na watindika wasioelewa kabisaaa...hawa sijua wamezaliwa wapi? wabongo bado saaaaana.
ReplyDeletekwa hiyo mliamini kabisa michuzi anafikiri huyo wa beach ni Clinton.Hafu Michuzi anavyowapatia anaweka uwanjani anawachia wendawazimu mbishane wenyewe...
watu wooote wameona picha moja tu ya mwisho hahahahaaaa
ReplyDeleteafu wala haijasema mama clinton..mwee
kuna wengine ni wadau wa pajazz kama uyo apo juu ana ugonjwa wa miili ya wanawake
KWANZA ULAYA SASA HIVI KUNA BARIDI YA HATARI, ANAWEZAJE KUVAA HIVYO ALIVYOVAA CHINI NA KUVUA SAMAKI? HII KWELI CHAI YA KWENYE KOMBE LA BATI.
ReplyDeleteDUUH! HAPO BABU MICHUZI UMECHEMSHA!! MAMA CLINTON KIMODO HIVYO?
ReplyDeleteWahindi wakipandisha bei za internet kufanya kama elfu 5 kwa saa, wajinga wajinga wengi wesingekuja hapa. Tatizo kila mlala hoi sasa anaweza kulipa mia tano kuleta utumbo wake hapa kwa wasomi.
ReplyDeletePamoja na yote yaliyokwishatajwa, naomba niongezee kwamba jiji la Paris halina eneo la Beach.
ReplyDeleteKuna mto (uitwao "La Seine") unaokatisha katikati ya jiji lakini hakuna wala ziwa wala bahari, kama ilivyoonyeshwa kwenye picha ya mwisho.