Mkurugenzi mtendaji wa Benki ya CRDB Dkt. Charles Kimei Akifurahia jambo wakati akimkabidhi Bi. Pamela Kipokola ( kulia ) zawadi ya Luninga bapa ‘LCD’ iliyounganishwa na king’amuzi cha DSTV makao makuu ya Benki hiyo jijini Dar. Katikati ni Bw. Albert Temu mume wa Bi. Kipokola na mtoto wao Liberati.
Mshindi wa kwanza wa Shindano la ‘ Shuhudia kombe la Dunia La FIFA 2010 na Nembo CARDVISA’ Bi. Deborah Msuya akionesha mfano wa tiketi ya kwenda Africa ya Kusini kushuhudia kombe la Dunia aliyojishindia. Kulia ni Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Benki hiyo Bi. Tully Mwambapa.

Mkurugenzi mtendaji wa Benki ya CRDB Dkt. Charles Kimei
Akimpa zawadi ya kifurushi chenye zawadi mbalimbali kutoka benki hiyo mshindi wa tatu Bi. Evalitha Tenson
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dkt. Charles Kimei
Akimpa zawadi ya kifurushi chenye zawadi mbalimbali kutoka Benki hiyo mshindi wa nne Bw. Fred Angels Musika
Mkurugenzi mtendaji wa Benki ya CRDB Dkt. Charles Kimei akimpa zawadi ya kifurushi chenye zawadi mbalimbali kutoka benki hiyo mshindi wa tano Bw. Richard Gunze.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Kimei ni kifaa.

    Tunahitaji wakurugenzi kama yeye pale Tanesco.

    ReplyDelete
  2. Hakika tukiwa na akina Dr. Charles Kimei kama 10 tu ktk mashirika yetu basi nchi inaendelea.

    Hongera Kimei

    ReplyDelete
  3. Hongera Fred Musika kwa kupata zawadi.
    mdau M6

    ReplyDelete
  4. hee hizi sifa zinatoka wapi? nini cha ajabu hapo au kuficha yaliyomo?....wachaga bwana!!!

    ReplyDelete
  5. heeee wee annon #4 toka juu

    kulikoni na wachaga???hahahahahaa hii blogu jamani kuna watu!!

    ReplyDelete
  6. hapo juu mnyonge myongeni haki yake mpeni!! hakuna binadamu aliekamilika acha unafiki wewe sijui kuficha yaliyomo sijui wachaga acha hizo wewe una lako jambo utajiju na bado he he heee halooo unaloo limekuganda kama si lako la jirani yako haihuuuuu

    ReplyDelete
  7. Huyu Dr. Kimei ni CEO wa kuigwa.

    (US Blogger)

    ReplyDelete
  8. Kweli Kimei mchapakazi,angalia alipoifikisha CDRD kwa sasa. Alifaa awe Governor ila kuna wazushi kama wenye mawazo ya mdau wa nne hapo ndo hivyo tena ndulu akachukua chake.

    Mdau wa M6

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...