Mkuu wa Mkoa wa Mara Enos Mfuru, akipokea sehemu ya msaada wa madawati kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano benki ya NMB Shy-Rose Bhanji, ikiwa ni msaada wa benki ya NMB, kwa ajili ya kusaidia baadhi ya shule za msingi mkoani Mara, kufuatia tatizo kubwa la madawati kwa shule za Msingi Mkoani humo. Katikati ni Meneja wa NMB tawi la Musoma Joseph Mwagilo. Msaada huo ulikabidhiwa mjini Musoma.
Mkuu wa Mkoa wa Mara akimshukuru Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano NMB kwa niaba ya Uongozi wa NMB kwa msaada wa madawati
Mkuu wa Mkoa wa Mara akimshukuru Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano NMB kwa niaba ya Uongozi wa NMB kwa msaada wa madawati
Maafisa wa NMB wakiwa wameketi na Mkuu wa Mkoa wa Mara (katikati) katika moja ya madawati katika hafla ya makabidhiano.
HII NI BENKI YA KWELI, LAZIMA TUKUBALI WADAU
ReplyDeleteBenki ya inakuwa ya ukweli kwa kutoa huduma bora na nafuu kwa wateja wake. Na kamwe sio kujihusisha na huduma za jamii ambazo zilitakiwa kufanya na serikali.
ReplyDeletemimi ni mkazi wa hapa msoma nimefarijika sana kuona benki ya nmb imetupa msaada wa madawati kwa shule zetu za msingi na kikubwa zaidi benki hii imefanya jambo jema sana kukabidhi madawati na si fedha taslim. naendelea kusisitiza muenderee kutoa misaada ya kutokana na maombi na si fedha taslim. asanteni sana nmb kwa kutujari
ReplyDeletenmb safi sana mnajitahidi kwa kusaidia maeneo mbalimbali, faida mnapata lakini tunaona japo asilimia flani inarudi kwa jamii...inapendeza
ReplyDeletejitihada mnazofanya nmb ni kubwa na zinaonekana- endelezeni libeneke la misaada kwa jamii
ReplyDeletesafiiiiiiiii
ReplyDeleteSumuni unatuswasha. Mimi pia niko hapa hapa "msoma" hatuonani...
ReplyDeleteJamani kifua nimependa
ReplyDeleteFor a better view ulitakiwa uwepo Mwanza maeneo ya Miti Mirefu in the eighties and ninties...
ReplyDeletemnastahili hongera sana nmb kwa misaada kwa jamii kiukweli mnajitahidi sana, kila kona mpo!!
ReplyDeletegreat...
ReplyDelete