
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania Mh. Samwel Sitta (kulia) akibadilisha mawazo na Naibu Waziri wa Kazi , Ajira na Maendeleo ya Vijana Dk. Makongoro Mahanga(katikati) na Mbunge wa Kigoma Mjini Mh. Peter Serukamba (kushoto) leo mara baada ya kipindi cha maswali na mjibu kumalizika.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...