mdau mwenye data msaada tutani hapo ni mji gani.
wadau wengine karibu kuchangia maelezo ya taswira hii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 37 mpaka sasa

  1. Kigali, Rwanda au Bujumbura, Burundi

    ReplyDelete
  2. Naona AZAM KWA MBALI ILA KAMA SI MWANZA BASI NI KAMPALA UGANDA AU ENTEBE. DUNGA. VANESSAAAAAAA NIMECHOKAAAAAAAA WEWE KILA SIKU UKO NA TERRY KUMBE NISHACHOKAMIE.

    ReplyDelete
  3. hapo nafikiri ni Magamba-Lushoto kwa mghoshi shehoza

    ReplyDelete
  4. Hapo ni mfareji maringo zanzibar! umeme hakuna wiki ya ishirini sasa!!network ni shida kupatikana... minara yote ya simu haifanyi kazi...mdau kapanda hapo juu ili awasiliane na wadau wenzake wa bara kuhusu issue ya kuvunjiwa nyumba yake kipawa...alitaka labda Jerry Muro aitoe kwenye kipindi maalumu!! hakuna hatari yeyote hapo juu kwani wire hazina umeme na mawasiliano ni muhimu sana!!!!!

    ReplyDelete
  5. Hapo ni Mbinga, mkoani Ruvuma na inaelekea mdau anasaka network ya TTCL Mobile!!

    ReplyDelete
  6. hapa itakuwa kigoma tu

    ReplyDelete
  7. Hapo ni Mafinga Iringa au Njombe.

    ReplyDelete
  8. kiongozi hii pic sio bongo.

    ReplyDelete
  9. Ama kweli hapo ni kebeep life hili, by the way waweza kuta ka umeme kamekatwa ndio maana anaonyesha umwamba wake
    >>>Revec<<<

    ReplyDelete
  10. Hizi simu za CHINA trouble sana, mdau hapo ndio anapata network coverage ya kiselula chake. Michuzi hembu mkumbushe asisahau kuita fire rescue team akimaliza kuongea na demu wake kabla hajaanza kufikiria kushuka chini maana kuna possibility ya 200% kutofika akiwa anapumua au kama vipi itabidi apige kambi hapo alipo.

    ReplyDelete
  11. Jamaa anaweza kuwa amejitolea kuwa kafara kwenye dua za kuomba mvua.

    ReplyDelete
  12. kama si Bujumbura basi ni Kigali

    ReplyDelete
  13. accident waiting to happen

    ReplyDelete
  14. Hapa mdau itakuwa morogoro au Kampala!!! mshikaji maisha kwake si kitu kwani juzi ktk taarifa ya habari yule jamaa was hinyanga si mmemuona yupo tayari kukaa barabarani na kufa!! Arican life inachanganya hadi watu wanapoteza thamani yao mdau!!! Mshikaji anaweza kuwa hana damu kwahiyo umeme kwake sio tatizo!!! Kama ni kubeep kifo sio !!!! mshikaji atakuwa anapiga kabisa ila sema Israel hajapokea!!! hizo zote ni misscall!! akipokea jamaa hatapata taabu ya kushuka kama alivopanda!!!

    ReplyDelete
  15. mtu huyu kapanda juu kupata reception nzuri ya network ya simu as chini no network

    si mnaona anaongea simuni

    yaweza kuwa kokote africa

    ReplyDelete
  16. ukisikia watu kucheza ngono bila kinga maana yake ndo hii, yaani nyama kwa nyama, yaani kushika waya bila glovu.
    piga ua hapo wako ktk mgao

    ReplyDelete
  17. Hiyo ni KAMPALA, Uganda.Haina ubishi.
    Mdau Denmark

    ReplyDelete
  18. ebwanaa eeh faza mithupu hapo ni jiji letu kigali rwanda.senkyu!!!

    mdau kigali makazi boxini

    ReplyDelete
  19. ahhh! nyie vp? hapo ni NewYork, ama London! huyo jamaa alikuwa anawasiliana na ndugu zake TZ, si unajua tz kila kitu ovyo, umeme nk. nadhani aligundua njia ya kuwasiliana na ndugu zake akiwa NewYork ni kupanda hapo juu,kuna siku alinipigia simu akiwa hapo hapo. haya anayetaka kuiga,aige!!

    ReplyDelete
  20. Somewhere in GHANA.

    ReplyDelete
  21. Hapo panaweza kuwa popote lakini lazima iwe kwenye nchi ya watu weusi.

    ReplyDelete
  22. ANKAL HAPO MIMI SIFAHAMU NI WAPI

    ReplyDelete
  23. Hapo ni Zanzibar, umeme umekatika kama miezi sita iliyopita sasa hivi, hivyo hata ukikaa kwenye mistimu ya umeme hakuna athari zozote.

    ReplyDelete
  24. Hapa ni nchi yoyote Afrika, ila huyu jamaa ni mfanyakazi wa shirika la umeme la nchi hiyo, amehakikisha amezima yeye mwenye umeme kwa matengenezo halafu ajifanya eti ni mbabe aogopi kunasa.

    ReplyDelete
  25. Wote mmechemsha huyi Kishoka wa TANESCO maeneo ya Kibamba, namfahamu mimi, Hakuna hatari yeyote hapo, anawaelekeza jamaa yake wawashe umeme baada ya dakika tano hivi. Hapo line fake imeishaunganishwa na fedha mfukoni mwake. Si mwaona kila mara umeme unakatwa bila taarifa na baada ya dkk kumi warudi bila taarifa pia. HABARI NDIYO HIYO.

    ReplyDelete
  26. hapo ni iringa mjini, anatafuta joto

    ReplyDelete
  27. hapo ni iringa kijij kimoja kinaitwa kalenga na ndani ya kalenga kuna kijiji kingine kinaitwa mkoga !!!

    msilete ubishi .....

    ReplyDelete
  28. Kama Lushoto - Ukiwa unatokea Magamba...

    ReplyDelete
  29. hapo ni KACYUCIRO kigali RWANDAAAA..

    murokoze chane!Bitessss
    MBONGO ndani ya RWANDA

    ReplyDelete
  30. Hapo wadau panaitwa "Mshindo" ni eneo la iringa mjini karibu na kanisa kuu katoliki linaloonekana kwa pembeni. naamini mdau umeelimika

    ReplyDelete
  31. Jamaa ana body inzuri!

    ReplyDelete
  32. Picha ya kuchonga!! Imekatwa vizuri kwa kutumia photoshop editor na kubandiwa!!!

    ReplyDelete
  33. Hapo Ni ANgola waheshimiwa nilipost mimi nilikuwa huko kwa mpira CAN 2010 hapo jamaa alikuwa anaangalia Mpira si unajua umeme wa mgao mwezi mzima. Hizi nchi za kiafrica kwa migao ya umeme ndo yenyewe sio Bongo tu.

    ReplyDelete
  34. MTANZANIA HALISI HUYO......

    ReplyDelete
  35. Aaah..hiyo body ya huyu kaka ni ya kinyasa ni mandhari yananikumbusha Mbamba-Bay,Nyasa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...