 sehemu ya savannah lounge ya Paradise City hotel iliyopo ghorofa ya tatu katika jengo la Benjamin Mkapa Towers jijini Dar ambapo kila jumatano kutakuwa na Charanga Nite kwa ajili ya wapenzi wa ngoma za charanga, salsa, cha cha cha na mirengwe.
 sehemu ya savannah lounge ya Paradise City hotel iliyopo ghorofa ya tatu katika jengo la Benjamin Mkapa Towers jijini Dar ambapo kila jumatano kutakuwa na Charanga Nite kwa ajili ya wapenzi wa ngoma za charanga, salsa, cha cha cha na mirengwe. sehemu ya savannah lounge ya Paradise City hotel iliyopo ghorofa ya tatu katika jengo la Benjamin Mkapa Towers jijini Dar ambapo kila jumatano kutakuwa na Charanga Nite kwa ajili ya wapenzi wa ngoma za charanga, salsa, cha cha cha na mirengwe.
 sehemu ya savannah lounge ya Paradise City hotel iliyopo ghorofa ya tatu katika jengo la Benjamin Mkapa Towers jijini Dar ambapo kila jumatano kutakuwa na Charanga Nite kwa ajili ya wapenzi wa ngoma za charanga, salsa, cha cha cha na mirengwe.

 
ankal hana ushindani kwa kubandika finger prints kwenye migongo ya akina dada zetu.
ReplyDelete(US Blogger)
ankali nanihiii mimi huwa unanikera sana kwa kweli katika swala moja tu mbona wife huwa hatumwoni kwenye matembezi yako ? ona leo unasema upo na shemeji kwani anti yetu kasafiri? au unambania?
ReplyDeleteMichuzi mbona Mama unakuwa humchukui sehemu kama hizi alafu unaweka weka finger print kama US Blogger anavyosema si haki. Hizo sehemu za kumchukuwa mama tutaandamana Ankal wanao sie? Usibanie Ankal wewe ndio wetu bwawa la maini oyeeeeee. Pazi
ReplyDeleteAnkal Ankal kwani Ankal wenu huyu Hapa ndio kashafika ndomana kanishika bega.
ReplyDeleteAnkal, unona wadau wako walivyokuwa na vichwa vya mbuzi!! umewaambia kuwa upo na shemeji yao lakini bado wanakuuliza mai waifu wako yuko wapi!!!!! nimefurahi sana kumwona shemeji, endelea na kazi hiyo nzuri ya kumtunza. ni bomba.
ReplyDeleteKwa kweli shemejiyako kitu... hongera mjomba.
ReplyDeleteAnkal tunashkuru kwa tarifa ila mbona wazanzibari hatumtambui huyu mbunifu??????????????????????
ReplyDeletehuyo ndo mrs.michuzi kama mlikuwa hamjui
ReplyDeleteAnkal, SHEMEJI KULAAAA!!!!!!!!!!
ReplyDeleteTeh !! Teh!!! Teh!!!!!!!!!!!!!!!!
Ankal, Unatesa kama JK vile katika anga zako.
ReplyDeleteSasa huyo ni Shemeji yetu wa ngapi??
Ankal, una maana huyo ndiye mai waifu wa Michuzi Jr.?? Haiwezekani, lazima kuna ufisadi unaendelea hapo, mweh!!!!!!!!!
ReplyDeleteAnkal mi sikuamini kabisa,kwani kila binti lazima uweke konoz a.k.a finger prints unanitisha! huyo dada picha zote mbili konoz tu mmh!
ReplyDeleteKumbe huyo ndo mywife wako. Hongera sana Michuzi na kweli kama una michuzi uwezi kuwa na toto kama hilo.
ReplyDeleteHivi ana mdogo wake nijuze tafadhali
Ankal unatoka na shemeji yako sio?! Anti wetu yuko wapi?
ReplyDeletebora mwanangu the fulanaz imepumzika leo
ReplyDeletehafadhali mseme nyinyi Viazi nikisema Muhongo eti nini mizizi, heli yenu nyinyi kuku mkija mmekuja mimi bata nimearisha tehteh... Ankal amezidi sasa kila siku mikonoz tu na dada zetu lakini my wife wako no kumuona ili nasi tupige naye konozi..
ReplyDeleteAnkal shemeji amekubana mbaya nakuona umebana miguu sana picha zote mbili hujakaa comfotable wakati nafasi ipo kubwa tuu pembeni ya shemeji what is wrong with you halahala hebu tuwekee picha ya ya my wife wako pls acha kula konoz na shemejis usiibanie hii
ReplyDeleteAnkal alikuwa ameisha weka ze Serengeti ya baridi kwa hiyo mwili ulitakajoto kidogo kwa shemejieeeee...Lakini kazi ipo Ankal ni sehemu nyingi unapenda sana kuweka finger print kwa madada sijui ni ugongwa wako au nini?Jitahidi kukwepa hilo maada ma wife kama anasoma brog atazimia sanaaaaaaaa..Karibu Kilombero Ifakara
ReplyDeleteAnkal, vipi mbona domo limejaa mate?mbona hujibu? mai waifu wako unamuachaga wapi?? Tunasubiri jibu.
ReplyDeleteWadau msimuonee ankal kwani ndio kwanza mwaka huu anafikisha miaka 21, so bado yupo yupo kwanza mpk afikishe 30 ndio atampata my wife wake !!!.
ReplyDeleteAnkal, tunataka tumuone shemeji yetu bana... Mambo ya kutoka na shemejio sio.
ReplyDeleteKAMA NI SHEMEJI YAKO BASI UNAKULA MANA ALIVYOLEGEA SI BURE MSHATIANA ASHKI HAPO!KAMA SIO MKE WAKO BASI MKE WAKO AKAE AKIJUA ANAIBIWA HAPO HATA HUITAJI DARBINI KUJUA.ACHA USALITI WE MWANAUME,UKIMWI UNAUA!! HALAFU NAHISI MKE WAKO NI KITUKO NDO MANA HUTOKI NAE!YALE YALEE YA OFFICIAL WIFE NA HOME WIFE.tehe tehe
ReplyDeleteAnkal wewe Ankal wewe Ankal...una mambo wewe unataka tuseme sio basi hatusemi....
ReplyDeleteteh teh teh teh dah ankal nakutamani sana mwanangumwenyewe ankal dah! sasa hapo inakuwaje hapo kaka??? hiyo picha ya kwanza kaka sijaelewa huyo ni mai waifu wako au?? sasa sijui nitokejetokeje eti kaka vipi niendelee na ugali au?? aargh mi nasonga ugali bwana kama noma na iwe noma kwa hapo uvumilivu umenishinda
ReplyDeleteMdau wa pajazzzz+titizzz
Hahahahah Mie nimeipenda aliyesema hii
ReplyDeleteAnkal Ankal kwani Ankal wenu huyu Hapa ndio kashafika ndomana kanishika bega. Kwakwakwakwa hahahahaah hii kaliiiiiiiiii hahahahaha hahahahaha DUH! Sasa kazi michuzi
Bongo kuna wanawake wazuri hivyo???? Loh kumbe huku ughaibuni tunachemsha tu.
ReplyDeleteAnkal ucholozi mwingi sana I like your life style! Ukitaka kufanya kazi vizuri hasa kazi ya upaparazi na upigaji picha usiwe na mke yeyote unayekutana naye ni company tosha, kwani ukiwa na mke itakuwa ni wivu na balaa tupu. Gooooo ankal kitu kimetulia! Maisha yenyewe haya ni mafupi!!!! kula dunia siku ukizimika tutasema kama kula maisha ankal amekula vya kutosha!! Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
ReplyDeleteankal wewe ni kivumbi sikuwezi mwana!!! nisukumie mimi huyo basi ankal na mie nile ugali kwa mboga ya kikwelikweli kila siku mboga ya picha tu kaka mwishowe ntajikuta nakula makaratasi sasa!!
ReplyDeleteMdau wa pajazzz+titizzz
Ankal naona kama vile mmembana huyo bwana Hamsini mpaka anashindwa kupumua,halafu huyo Hamsini miguuni amevaa soksi au ni vumbi? naomba jibu tafadhali.
ReplyDeleteJamanin i really love the tall somali lady wa hapo paradise city/savanah lounge..give me her details ankal she is so fine
ReplyDeleteGUU GUUUUU MWANANGU
ReplyDeletemdau mwenye chui chui katikati...suruali njiwa...
ReplyDelete