


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Bi wifi uko wapi?naona konoz zimezidi hasa hapo kwa Farha sitii neno,kalaga baho na ubozi wako!
ReplyDeletekama Konoozz ni pesa bali Ankal milionea.
ReplyDelete(US Blogger)
sasa hivi vyeti ni kama nini kwa wahusika. na unaweza ukavionyesha nchi za nje ukakubalika? yaani hadhi yake ni nini. sina ubaya ni hilo ila nataka kujua.
ReplyDeleteankaaallll wapi ze fulanazzzz!!!! kumbe huwa unapendeza without it??!!
ReplyDeletehahahhaaaa kweli ankal wee koboko,wadau wanakufundisha ugumu eee?
ReplyDeletehahahahaaa asubui na kicheko
anko, mhuu..!!! si siri ukweli ni kuwa inaonekana mai wako ana moyo kweli na kwakweli anakupenda sana maana kwa utamaduni wako huu wa konozzzz unavozitupia kama ingekuwa mama kirikuu wangu angeshanitema zamani konozzzz zako kwakweli maneno yamenishia konozzz unajuwa pa kiziweka anko
ReplyDeletenawe michu huo mkono utakuja kukuponza! unakoelekea ni kuja kukatwa tu!
ReplyDeleteBaada ya muda mrefu sasa umeelewa Njomba, mkono umekaa sawa sawa. Ngoja nikamwambie jamaa yangu aliyepata Division 0 kwa mara ya tatu arudie tena.
ReplyDeleteMzee mzima naona unavyodondokwa na denda huku ukimkumbatia huyo kimwana. Chunga teteeeee
ReplyDeleteankal naye hakosi visababu? anatafuta kila njia aendeleze mikonozzz.haha
ReplyDeleteCongrats ankal keep bloggin
Bonge la konoz limetuwa penyewe lakini ulitakiwa ushushe kwa chini nusu futi au vp
ReplyDeleteDaah mkuu wa nonino umekamatia kama kweli vile shauri yako!!!!!!!!!!
ReplyDeleteAnkal ! Mkonozi!!!karibu na nyonga naniii!? sasa inatbidi lazima nikuripoti kwa kamanda wa FFU hili akushughulikie haraka sana sana na song zake?sasa kweli Ankal hizi konoz!!! jamani?au ndio shemeji yako unaweza kupiga konoziiii namna hii?????
ReplyDeletekweli wadau wa blog ya jamii nyie kina mr pajazz nyinyi mnamfundisha ankal vibaya ati awe anakamata viunoz na sio konozzz mwenzenu alikuwa anawapa hishma zao tuu sasa mnataka siku moja tumkute ankal wetu na manunduzz sio enhee? ankal wee jirudie tu kwenye konozz hiyo style ya maunozz itakuwa inapelekea mapigo yako ya moyo kwenda fasta nyonga huwa ni laini babu ohooo!!
ReplyDelete