Mchora katuni maarufu barani Afrika Godfrey Mwampembwa a.k.a GADO wiki hii ametamba sana katika CNN pale alipofanya mahojiano ya zaidi ya nusu saa na kituo hicho cha kimataifa. Pichani juu anaonekana akielezea kipindi kipya cha 'XYZ' kinachohusu katuni za mambo ya siasa
GADO akipigwa swali leo
GADO akijibu kwa ufasaha na weledi wa hali ya juu. Hii si mara ya kwanza kwa GADO, ambaye ni Mmbongo anayefanyia shughuli zake kwa watani wetu wa jadi jijini Nairobi, ila sema safari hii alifunga kazi katika kipindi cha CNN cha 'AfricanVoices' kilichoonekana dunia nzima wiki hii.
Mahojiano hayo ya leo bado kuwekwa mtandaoni.
Hata hivyo kuna mahojiano ya awali ambayo ukitaka kusikiliza na kusoma



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. MWAMPEMBA HONGERA SANA KWA KUPEPERUSHA BENDERA NA JINA LA NCHI YETU. JITAHIDI KUPROMOTE VIPAJI VYA WACHORAJI VIJANA ILI WARITHI TAALUMA HII MUHIMU KWA JAMII.

    ReplyDelete
  2. kipit up gado

    ReplyDelete
  3. aleluyaaaa

    safi sana GADO na zidi kututoa kimasomaso,ila duh watani hawakawii kujitamba wee wa kwao!!

    ReplyDelete
  4. UNAJIBU MASWALI KAMA PROFESSA VILE...KAMA PHD VILE....CONGRATS BRO!

    ReplyDelete
  5. Kwenye interview uwe unataja taja tanzania, dar es salaam na kwenu Mbeya ili watani zetu wasije wakakubinafsisha kama wanavyojitahidi kuubinafsisha mlima nanihii....Ndaga fijo!!

    ReplyDelete
  6. GADO uko juu.
    Mwana wa Azania (kitukuu cha Major) the Law never die.
    Big up.

    ReplyDelete
  7. mwenzangu hawa jirani hawakawii kusema we ni wa kwao mana wametuibia mlima,wakaiba wimbo wetu wa malaika wakamuuzia msauzi miriam makeba hawakawii sema we mtz kaka we are proud of u mi mwanangu anapenda kuchora nimemuon yesha za kwako anasema anataka kuwa kama wewe

    ReplyDelete
  8. mbona CNN wanasema Gado ni mkenya, yaani wametamka kabisa kwamba he is a Kenyan Cartoonist.

    Michuzi hebu fafanua hapa au mtafute Gado. Labda amebadilisha uraia.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...