Home
Unlabelled
ananilea nkya apata tuzo ya mwanamke jasiri wa mwaka
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kutambuliwa huku: a badge of honour ama a badge of shame? Mbona tusitambuliwe na watu wetu wenyewe?
ReplyDeleteeh wanawake wa kichagga muko juu! well done mama.
ReplyDeleteMama huyu sijawahi kumuona uso kwa uso lakini huwa ninafurahia hoja zake kupitia vyombo vya habari. ni mwanaharakati shupavu na anastahiki hiyo tuzo. HONGERA SANA na keep up!!
ReplyDelete...Hongera mama!!!
ReplyDeleteHongera sana mama!! Anony 05:41:00 ingependeza tungemtambua sisi wenyewe na sio wageni. Sie tunawatambua mamiss zaidi.
ReplyDeletemdau hapo juu unaesema wanawake wakichaga mko juu wewe inaonyesha kabisa ni mshamba
ReplyDeleteKWASHA MA! KIJIJI CHA NRONGA, MACHAME JUUU!
ReplyDeleteKuuliza si ujinga hivi wadau, tuzo hii aiambatani na chochote mfukoni kama ile ya nobel?
ReplyDeleteannon #1 sawa kabisa,tujitambue sisi wenyewe kwa kupima michango kwa jamii,kwani kule kijijini pia kuna watu kibao ambao HAWAONEKANI na wanachangia/saidia jamii kuliko awa wa mjini darisalama,na sio kutambuliwa na hawa wageni wanaotoa izo ngao/mbao...
ReplyDeleteaya ya kutambuliwa na wageni nayaonaga walakini tu!!!