Home
Unlabelled
tabia nchi: dubai nako ni tambarare...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
baada ya muda hayo magari utakuta yanauzwa bongo,hapo lazima mtu aliwe.
ReplyDeletewe michuzi hujatiulia wewe eti ustaadh anasaka pa kusomea magazeti hahahahaaaa,uko juuuuu kaka
ReplyDeleteMIUNDO MBINU MIBOFU, SIJUI HAWA JAMAA WANAFANYA NINI KAZI KULA MAHELA YA WANAINJI TUUUUU!
ReplyDeleteHAYA SI MAFURIKO BALI NI MAJI YALIYOTUWAMA BAADA YA KUKOSEKANA MIFEREJI YA KUONDOA MAJI YA MVUA. MSITUJENGEE HOJA YA KUOMBA MISAADA NJE ILI MNEEMEKE.
ReplyDeletekimyaaaaa, kina john mashaka mko wapi na lawama zenu.
ReplyDeleteMie mbavu sina Ustadhi anasaka pakusomea Gazeti hahaha. Na hii Yangu Jamaa kwenye Taxi anachukuwa Taxi anamwambia mpaka Home ila Bei itabidi ipungue hahaha. Issa.
ReplyDeleteSidhani kama hilo ni tatizo la tabia nchi (glubo woming). kinachochangia zaidi ni udhaidu wa kutengeza mipango miji inayo endana na miundo mbinu vizuri zaidi.
ReplyDeletesiku zote kunaeza kuwa na mafuriko mahali popote pale lakini unapokuwa unapanga kukua kwa mji ni lazima uweke miundo mbinu itakayoweza kusapoti mjini huo.
Kitu cha kwanza unachotakiwa kujua ni kuwa unapojenga mahali fulani ujue unaharibu uhasilia wa mhali hapo, kwa mfano unaharibu jinsi gani maji yalikuwa yakitiririka pale mvua inaponyesha.
Kwa hivo basi ni lazima uyaonyesha hayo maji ss yaenende wapi kwa sababu umeyakinga yasiende mahali yalikuwa yanaenda kabla hujajenga eneo hilo.
Kinachotakiwa na kinachofanywa na miji ya kisasa ni kujenga mifereji mikubwa sana ya kukusanya maji ya mvua (stormwater) na kuyapeleka aidha kwenye bwawa, mtoni, baharini au mahali pengine popote ambako maji hayo hayatasababisha madhara makubwa na pia hayo maji ya mvua mara nyingi huwa hayawi treated kama maji machafu kwa ivo unaeza kuyarelease mtoni salama tu.
Sikujua kama tabia nchi inaitwa Behavior. Kazi kweli kweli.
ReplyDeleteTafadhali mleta taswira hizi kuwa makini na mkweli hizo taswira ni Sharjah na si Dubai! tafadhali rekebisha!
ReplyDeleteHapo ingenoga zaidi,kama angepita mtoto wa kimanga,lazima angenyanyua hijabu na tungeona mapajazz
ReplyDeleteMdau wa mapajazzzz + matitizzzz
hapo si Dubai, mafuriko hayo yanaonyesha ni Sharjah
ReplyDeleteTafsiri ya tabia nchi ni Behavior Country
ReplyDeleteHahahahahaaaa raha
Sasa Ankal unatupa ujumbe gani? Kwamba kwa kua wenzetu nao mitaro imeziba basi na sie tuzisizibue mitaro yetu. Ati wao wakiwa wajinga sie tuwe wajinga zaidi yao?
ReplyDeleteUsitetee tabia nchi kwani yale mafuriko ya jana sio tabia nchi ni uchafuzi wetu wa mitaro kwa kushindwa kutunza mazingira yetu na sheria kukosa makali achilia mbali mipango miji mibovu.
pa kusomea gazeti???
ReplyDeletetih tih tih,,,afu ndo zao izo
Hapo si Dubai ni Sharjah....na pia huku ni jangwani mvua ni vitu vya nadra sana na ndio maana hawakuweka mitaro ya kutosha n.k.....huku ni joto na baridi tu mvua ni mara moja kwa mwaka...au pia mnaweza pitisha hata miaka 3 hamna kitu kama hicho.....na si kama uweo hawana....na wala hayo mawazo ati pesa wanakula ni mambo ya viongozi wetu wa africa kwa hawa wenzetu wa UAE...Hata pesa wakila mwananchi hapati tabu .....MTOTO ANASOMESHWA BURE, MATIBABU BURE, KWENYE KAZI NZURI WANAWAWEKWA KWANZA WAO RAIA NA ANALIPWA MSHAHARA MZURI HATA KAMA ELIMU YAKE NI NDOGO...NA KILA MWEZI ANAPATA DOLA 800 KWA KILA MTOTO MMOJA ZINATIWA KWENYE ACCOUNT YA BABA HAPO HATA KAMA WATU WANAKULA PESA UNALALAMIKA KWELI?? MANA PESA UNAYOPATA NI KWA AJILI YA KULA TU NAKUNUNUA NGUO NA MAGARI ....KILA RAIA ANA NYUMBA MAANA NI LAZIMA UKOPESHWE NYUMBA...TUSIJIFANANISHE KABSAA NA HAWA WENZETU.
ReplyDeleteNA HAYO MAGARI YANAYOTUMIKA DUBAI NI TOFAUTI NA YA TZ DUBAI MSIKANI UKO UPANDE WA KUSHOTO.
Watoto wakimanga huwezi kuwaona wanapandisha nguo kwenye maji...kuogelea tu anaogolea na baibui ...
lile jengo lejiao refu ndio limeleta kizazaa limeziba njia za mifer
ReplyDeletekutokana na upungufu wa mabwawa ya kuogelea kwa wasio na uwezo{swiming pool} bosi juu {sir god}huona iko haja ya kufanya haki kama lile bango la chama cha wananchi haki sawa{cuf} kila mtu apate japo siku kadhaa za kuogelea katika bwawa huria hakuna upendeleo wala uwezo ndio maana hushusha hii neema kwa wote,hasa kwa wale ambao hawajapata kuogelea katika mabwawa na wale wasio na bahari.
ReplyDelete