
Familia ya Mzee Ramadhan Fundikira wa Kinondoni Dar es salaam inapenda kuwaarifu ndugu, jamaa, marafiki na wadau wote kuwa arobaini ya mpendwa wetu Marehem Swetu itakuwa Jumamosi hii tarehe 06 March 2, 2010 palepale Nyumbani Kwa Mzee Ramadhan Fundikira Kinondoni Msufini.
NYOTE MNAKARIBISHWA
NYOTE MNAKARIBISHWA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...