Mwanadada Christine Tido Mhando, maarufu kama Chichia – London, anaendelea kutesa katika Ulimwengu wa Mavazi nchini Uingereza na Ulaya kwa ujumla. Pichani ni Maonyesho maarufu ya Mavazi yajulikanayo kama London Fashion week, yaliyofanyika wikiendi iliyopita katika Ukumbi wa Battersea Art Centre- London
Modo akipita mbele ya Watazamaji wakiwa kwenye mavazi ya asili ya Khanga
Angalia video ya shoo hiyo hapa


Christine, am saluting you from Sweden. HOngera sana sana. YOu have done such a tremendous job..i got tierful when watching the models..such an inspiration for Tanzanian women...Khanga zilivyo nzuri..God bless you and keep up the good and surely hard work..patricia
ReplyDelete