Mwanadada Christine Tido Mhando, maarufu kama Chichia – London, anaendelea kutesa katika Ulimwengu wa Mavazi nchini Uingereza na Ulaya kwa ujumla. Pichani ni Maonyesho maarufu ya Mavazi yajulikanayo kama London Fashion week, yaliyofanyika wikiendi iliyopita katika Ukumbi wa Battersea Art Centre- London
Modo akipita mbele ya Watazamaji wakiwa kwenye mavazi ya asili ya Khanga


Angalia video ya shoo hiyo hapa



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Christine, am saluting you from Sweden. HOngera sana sana. YOu have done such a tremendous job..i got tierful when watching the models..such an inspiration for Tanzanian women...Khanga zilivyo nzuri..God bless you and keep up the good and surely hard work..patricia

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...