The Vice President, Dr Mohamed Ali Shein, shakes hans with Mr Geert Haverkamp after arriving at the Mafinga National Service Camp in Mafinga, Iringa region. The Vice President visited the USA's DOD-funded PharmAccess Project that has been Commissioned by the Embassy of the Kingdom of the Netherlands (EKN) in Tanzania to support the National Aids Control Program (NACP) of Tanzania with special emphasis in the army
Makamu wa Rais Dk. Shein akimsikiliza Mkurugenzi wa Miradi wa PharmAccess Bw. Geert Haverkamp akimwelezea miradi mbalimbali afya kuhusu UKIMWI inayofanywa na PharmAccess katika majeshi ya Tanzania kupitia fedha za watu wa Marekani kupitia shirika la USAID na PEPFAR. Hii ilikuwa ni uzinduzi wa kituo cha afya cha JKT Mafinga huko Iringa wakati Makamu wa Rais alipotembelea hivi karibuni. Kituo hicho kilifanyiwa ukarabati na Idara ya Ulinzi ya Jeshi la Marekani (DOD) kupitia PharmAccess Foundation.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. It reminds me of those old days (hard ones) when there was Mafinga, Afande and there was also was Nyahenge - is that Changarawe, where mirabas bordered the horizons? A guy called Mpogole Mpilano Nico Kimbunga made my life a hell on earth - as did Ntare, the commando. Did anybody else go through a hell?

    ReplyDelete
  2. Michuzi,

    Hapo unanikumbusha enzi zetu za JKT hapo Mafinga OPERESHENI OKOA miaka ya 80.

    Unanikumbusha mashamba ya IDETERO na DUBLIGANGA.

    Huku kuna Afande Adamu, huku Afande NUSU MUNGU, huku Afande Abdala, huku Afande LUBEGA.

    Hapo ndo BIGULA la kwenda kuzima moto lishalia, we acha tu!
    Watoto wa DOT KOM wanakosa kweli uhondo huu!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...