Da'Maria Doris

Uncle Michuzi mbona wewe ni Mtu mwema na tunamuomba Mungu azidi kukupa uzima lakini umetufanyia roho mbaya kwani tulikutumia picha ya Dada yetu Maria Doris wa Isamilo Mwanza aliyekuwa na siku ya kuzaliwa kwake tarehe 06/03/2010 lakini hukuirusha.

Tunajua ilitokea hivyo kutokana na majukumu mengi uliyonayo tunakutumia tena na tunaomba uipaishe kwenye glob yetu hii.
Ni Sisi Wajomba zako,
David, Doreen & Daniel

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Happy Belated Birthday Da Maria Doris

    ReplyDelete
  2. Happy Birthday ya kuzaliwa? Sounds so owkward!

    ReplyDelete
  3. anony Wed Mar 10, 01:53:00 AM, ebu ongea lugha tunayoijua. sasa owkward ndio nini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...