Home
Unlabelled
Ocean View ya Zenji yatoka 3-3 na simba leo dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sahihisho hii ni mechi ya KIMATAIFA si KITAIFA (zanzibr ni nchi mbali na Tanganyika)!
ReplyDeleteMsianze kuleta mambo ya kututenganisha hapa. Maximo akiita wachezaji wa Ocean View kuchezea Taifa Stars wanaichezea bila matatizo.
ReplyDeleteNawapa heko Simba kwa kuonyesha mtizamo wa kisasa katika soka kwa kujaribu kuendeleza chipukizi wao. Ingekuwa enzi zile timu ingeundwa na wachezaji wa ligi kuu peke yake.
Kuna mtu anaweza kutuandikia majina ya hao wachezaji wa simba tuwajue?
ReplyDeleteIweje timu kubwa kama simba icheze na wachezaji wakiwa wamevaa jezi zikiwa zimetofautiana?Ina maana wana upungufu wa jezi? Vitu vidogo kama hivi vinaipunguzia hadhi timu kubwa kama simba..hata kama mechi ilikuwa ndogo, wachezaji walitakiwa kuvaa jezi zinazofanana..Hii imenikera sana
ReplyDelete