JK akipungia umati mkubwa wa wananchi waliofika uwanja wa Uhuru jijini Dar leo kusherehekea miaka 46 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kuume kwake ni Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange
JK akikaribishwa jukwaa kuu na Rais wa Zanzibar Mh. Amani Abeid Karume. Kushoto ni Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda
JK akikagua gwaride rasmi la kuadhimisha miaka 46 ya Muungano
JK akikaribishwa jukwaa kuu na Rais wa Zanzibar Mh. Amani Abeid Karume. Kushoto ni Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda
JK akikagua gwaride rasmi la kuadhimisha miaka 46 ya Muungano
Hii ni siku ya kuanzimisha ukoloni zidi ya taifa letu la ZANZIBAR chini ya kivuli cha muungano.
ReplyDeleteWazanzibari hatujaukubali,hatuukubali na hatutoukubali huu wenzetu tanganyika muuitao muungano.
Yahee weyeee ni mpemba au muunguja?
ReplyDeleteWEWE SEDOUF SAID NI ALKAIDA TU WEWE, RUDI KWENU ARABUNI KAFUGE MBUZI
ReplyDeletekaka huku uarabuni hakuna mbuzi,huku kuna ngamia.
ReplyDeleteJee kupinga muungano ni ualkaida?mbona wataka leta siasa za mabavu?
Kwa ufahamu wako hiyo ndio demokrasia ya kweli kaka(kuwepo walioafiki na wasioafiki)
Achana na sisa za kidumuuuu! muda umebadilika kaka hii ni karne nyengine kabisa.
WAZANZIBARI haturudi nyuma katika kuikomboa nchi yetu iliyochukuliwa kimabavu na wanyamwezi! hilo katu halitokubalika.
Tushaanza na serikali ya mseto.mseto ukija ccm zanzibar wanakaa pembeni ,na hapo sasa wanyamwezi ndio watatueleza wamefata nini ZANZIBAR!
Kaka ZANZIBAR ina wenyewe !!!!
Jitayarishe!!!!!!
jamani mpunguzieni kuku chips rais mstaafu mkapa atapasuka! kweli namuonea huruma ule si mwili wa afya, magonjwa yote yana mnyemelea
ReplyDeleteila suti anazonyuka kikwete za ukweli jamani..duh!!si mchezo
ReplyDeleteWhat do the body languages of Karume and Kikwete say? One of them seems less enthusiastic.Does that say what he feels about the union?
ReplyDeleteJAMANI ACHENI USHAMBA WA SUTI LET TALK ABOUT HUYU BWN SEDOUF MIMI NAHISI NI RASCIST THAT IS WHY I DONT LIKE CUF WOTE HAWA SI WATU WAZURI KWA NCHI YETU SI UMEMSIKIA AKISEMA KWAMBA KUNA WANYAMWEZI NA WAZANZIBARI HUYU NI MBAGUZI HATUFAI NA INABIDI TUMUOGOPE KAMA UKOMA.
ReplyDeletehivi rais wetu hana mtu anayemchagulia suti..maana hiyo suti inaonekana kubwa
ReplyDelete